Magufuli atamuweza Lowassa mahakamani?

Magufuli atamuweza Lowassa mahakamani?

Mkuu mleta Mada ufisadi ni mpana subira huvuta heri. Wengi wenu Mmekuwa mkiuliza na mkitaka kujua kuhusu ufisadi wake.

Nawasihi msubiri tu mtaelezwa mahakama ikianza kazi ndo mtashangaa. Ila nawaombeni muwe wavumilivu mtakapoyasikia yanayomuhusu boss wenu wa UKAWA msijedhani anasingiziwa.

Dunia haina siri.
 
Mtu mpaka anatumia maandiko ya Biblia ili kujaribu kuhalalisha unafiki na undumila kuwili.

Haishangazi alikosa hata milioni 15 za kufungua kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi ya Jimbo la Muleba Kaskazini. Huyu mwandishi wa habari ni njaa kali.

Ninaamini hakuna dhambi kubwa kama kumtumia Mungu kutenda dhambi.

Haamini kuwa Lowassa is finished.
 
Ni bora tunapotoa hoja tutumie busara. Majaji wetu si kama unavyodhani na pia na kuwakosea heshima waliyo nayo. Pia kuwa basi na uhakika kama aliweza kuhonga wote hao, je alishindwa VP kuwahonga wazee hao? Kama huna hoja ya jambo bora kukaa kimya
 
1. kama MTU aliweza "kuhonga" watumishi wa tume ya uchaguzi

2. Kama MTU aliweza "kuhonga" wajumbe wa chama chake zaidi ya 2,000 ili achaguliwe (akawashindwa wazee 24) kasoro wachache wao

3. Kama MTU aliweza "kuhonga" hata Wachungaji wenye "upako" na wafufua misukule

4. Kama MTU aliweza "kuhonga" wanaomsema vibaya wapewe sumu ama "wafanyiziwe" kwa namna ya kutolewa duniani

5. Kama MTU aliweza "kuhonga" vijana wa mitaani na waendesha bodaboda nchi nzima wamshabikie tu bila kujua sababu ya kumshabikia

6. Kama MTU aliweza "kuhonga" wale walioeleza mabaya yake na baadae wakageuza maneno yao (anayemshabikia apimwe akili, ni BARAKA kumzomea fisadi, ni Hatari chama Fulani kumpa fomu , tukichagua fisadi MNA haki ya kututosa nk)

7. JE ATASHINDWA KUUNUNUA MHIMILI WA MAHAKAMA na majaji wote????

NB: neno kuhonga limewekwa hapo baada ya kukosekana neno linalostahili, hivyo basi Mwandishi hawajibiki kwa lolote
8. JE, ATASHINDWA KUNUNUA IKULU NA RAIS ALIYEPO?
 
Acha uwongo wa namna hiyo, wote tuna akili. Ktk uchaguzi hakuna hakuna MTU yeyote aliyehojiwa ktk mchakato ule. Lkn kwann mnaona ufisadi wa lowassa mnashindwa kuona ufisadi wa mtukufu? Barbara ya kimara , mbagara, barabara ya kusini, kivuko cha bagamoyo, meli ya SAMAKI na mengine mengi. To a boriti lako kwanza.
 
Aisee huyu ndie mwandishi wanaejivunia chadema kwamba ni mchambuzi?

Maneno meengiiii... Pointi moja tu, kumtetea Liwassa basiiii..
 
Hata ukimpamba namna gani Lowassa asahau Kabisa kuwa Rais wa Nchi hii! Labda apewe uenyekiti wa hicho chama kilichopoteza dira!

Teh teh teh!!! Chama kipi kimepoteza dira eti teheeeee sisiem weeeeee.
Dira ya hicho chama kilichoipoteza hivi unaijua kweli???? Maweeeee fisiemmmm
Hivi MAJOKA chama dira yenu ni ipi labda unaweza kuwaunaijua hiyo teh!! Utakuwa hewa tu.
Na kama Lowasa hafai popote hofu ya nini kwa mwenyekiti wenu hata atumie mikwara na mikurupuzo miiiiingi kuzuia Lowasa asiongee wa Watanzania.
Kuwa ccm ni kama njia ya kuelekea kuzimu hakika.
 
Kwani mahakamani wanaenda kushindana kuongea kiingereza? Hata hivyo lowassa atafungwa kwa ufisadi
 
Huyo LOWASSA hata afanyeje IKULU ataiona kwenye tv tu na hatakuja kuwa RAIS wa NCHI hii ana nyota ya PUNDA wenzake wanamtumia kama DARAJA kufikia malengo yao alianza KIKWETE akamtumia ipasavyo kaja MBOWE naye anamtumia vizuri mwisho wa siku wanamchinja
 
Mara sauli mara yuda mara yesu mara shekh mara padre kumbe lengo lako unataka kutetea mafisad pole sana nyumbu na nyumbu wenzako wa hapo ufipa ikulu mtaisikia tu ila hamuiona polen sana watetea mafisad
 
1. Hivi kweli ikitokea kwamba Edward Ngoyai Lowasa anafikishwa mahakamani kwa ile tuhuma ya Richmond Tundu Lisu atatokea mahakamani kumtetea?

2. Wakihitajika wadhamini wa kumdhamini Lowasa kwa kesi hiyo ya Richmond je Mbowe, Mnyika, Lema na Msigwa watatokea mahakamani kumdhamini?
bd7969cf298a2a0e75ea62f12095d465.jpg
 
1. Hivi kweli ikitokea kwamba Edward Ngoyai Lowasa anafikishwa mahakamani kwa ile tuhuma ya Richmond Tundu Lisu atatokea mahakamani kumtetea?

2. Wakihitajika wadhamini wa kumdhamini Lowasa kwa kesi hiyo ya Richmond je Mbowe, Mnyika, Lema na Msigwa watatokea mahakamani kumdhamini?
bd7969cf298a2a0e75ea62f12095d465.jpg
Haya waweke sasa wale wa:-

-Hivi ni vijisenti tu

-Mil.10 ni hela ya mboga tu

-Na yule aliyetuita wananchi kuwa ni Masikini na Malofa.

Umewafahamu MAFISADI sasa?

WanaLUMUMBA bana...!!!
 
Ni bora tunapotoa hoja tutumie busara. Majaji wetu si kama unavyodhani na pia na kuwakosea heshima waliyo nayo. Pia kuwa basi na uhakika kama aliweza kuhonga wote hao, je alishindwa VP kuwahonga wazee hao? Kama huna hoja ya jambo bora kukaa kimya
Busara ni kusema UKWELI tu! Lowasa alihonga DHAHIRI kwenye makanisa na miskitini mabilioni ya pesa - Unajua hayo mabilioni alikokuwa anayatoa? Mbona kwa sasa haendelei tena? au roho ya ukarimu humjia uchaguzi unapokaribia?
Alihonga SIRINI wanakamati wengi wa CCM waliokuwa wapitishe jina lake ili awe Rais. Alishindwa kuwahonga akina mzee Mkapa, Mwinyi, Mangula nk. Na ndio waliousoma mchezo na KUMKOMESHA.
 
Acheni angehonga simngemkamata? Roho mbaya zinawatawala rohoni mwenu opposition mnataka atoke Rwanda? Nyie mliokuwa ikulu mnafaidi nn zaid ya maumivu na mnafilisika hivi sasa,
 
1. kama MTU aliweza "kuhonga" watumishi wa tume ya uchaguzi

2. Kama MTU aliweza "kuhonga" wajumbe wa chama chake zaidi ya 2,000 ili achaguliwe (akawashindwa wazee 24) kasoro wachache wao

3. Kama MTU aliweza "kuhonga" hata Wachungaji wenye "upako" na wafufua misukule

4. Kama MTU aliweza "kuhonga" wanaomsema vibaya wapewe sumu ama "wafanyiziwe" kwa namna ya kutolewa duniani

5. Kama MTU aliweza "kuhonga" vijana wa mitaani na waendesha bodaboda nchi nzima wamshabikie tu bila kujua sababu ya kumshabikia

6. Kama MTU aliweza "kuhonga" wale walioeleza mabaya yake na baadae wakageuza maneno yao (anayemshabikia apimwe akili, ni BARAKA kumzomea fisadi, ni Hatari chama Fulani kumpa fomu , tukichagua fisadi MNA haki ya kututosa nk)

7. JE ATASHINDWA KUUNUNUA MHIMILI WA MAHAKAMA na majaji wote????

NB: neno kuhonga limewekwa hapo baada ya kukosekana neno linalostahili, hivyo basi Mwandishi hawajibiki kwa lolote
Na kama akili yako kweli inaamini alihonga na watu wakapokea basi hii nchi wahongwaji wote ni mbumbumbu, mazwazwa, wapuuzi, vilaza, mapoyoyo nk
 
Back
Top Bottom