Magufuli ashangaa wananchi kuchangishwa pesa

Magufuli ashangaa wananchi kuchangishwa pesa

idoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
3,051
Reaction score
1,423
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari
 
Yaani huyu Makufuli kila kitu anashangaa utafikiri hayupo Ccm vile khaaa,huyu ni kumnyima kura tu na miccm mienzake ikae pembeni
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari
Halafu munataka mtu huyo leo tumpe urais!!! inaonesha alipokuwa bungeni alikuwa anasinzia. Hivi si yeye aliepitisha michango ya maabara. Uraisi kwake utaishia kwenye mikutano yake ya kampeni tu.
 
Anashangaa nini na wakati chama chake na yeye ndio wametufikisha hapa. Yaani ananiudhi sana na hiyo mishangao yake ya kuigiza.
 
Ukweli huyu Magufuli anawakati mgumu sana hawezi kuacha kulalamika maana ndio hali halisi anayokutananayo!na haya yamesababishwa na uzembe na ubinafsi wa viongozi waliopewa dhamana.
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari

Makufuli sio michango hiyo tu!!

Pia kuna michango iliyojaa vitisho ya mafuta ya Kibatari kila mwaka!

Ndio maana watu huwa wanakushangaa wewe pia kwa kuhusudu waliokutalia kwa kulea uvundo huu!
 
Nyie hamjajua kitu hapa ngoja niwaambie. Baada kuona chama kama chama hakikubariki uko kwa wananchi jamaa na kamati yake wameoona wabadirishe gia angani sasa anapiga kampeni akiwa kama Magufuli ndio maana anajifanya kama hakubaliani na yaliyokuwa yanafanyika ktk serikal iliyopita ili jamii imuamini yeye kuwa kama anachukia hayo maana yake akiingia madarakani atabadirisha mfumo. Lakini watu wanashindwa kujua kama hii ni danganya toto uyu magufuli ashangai kwa dhati kutoka moyoni ni body language hiyo ili kuwalaghai wananchi
 
Alikuwa mmojawao miaka karibu nusu ya maisha ya uongozi wa CCm. Kwa alishiriki kuuwa nchi hii Sasa anashangaa nini?
 
Sasa kama anashangaa na kulalamika nani atawatetea wananchi. Hapo hamna kiongozi kumpigia kura ni kuipoteza bora niwape UKAWA
 
Kwani nae huyu ni mtanzania? itamchukua miaka mitano (kama akishinda) kubaki akishangaa matatzo ya wananchi. huwa anatazama vyombo gani vya hbr,anasoma nini? Huyu sio mtu wa watu kamwe.
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari
magufuli ni janga lingine la Taifa hili,mtu aliyekuwepo serikali for 20 years tena akiwa waziri then anajifanya kushangaa si usanii huo?
Mtu huyo huyo anashangaa serikali ya jk wakati huo huo akimsifia kj yaani ni full vituko
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari

Yaani anashangaa hilo michango na hashangai twiga kupanda ndege!!! kumbe hafai kuwa m..mbavu na lofa.
 
Nyie hamjajua kitu hapa ngoja niwaambie. Baada kuona chama kama chama hakikubariki uko kwa wananchi jamaa na kamati yake wameoona wabadirishe gia angani sasa anapiga kampeni akiwa kama Magufuli ndio maana anajifanya kama hakubaliani na yaliyokuwa yanafanyika ktk serikal iliyopita ili jamii imuamini yeye kuwa kama anachukia hayo maana yake akiingia madarakani atabadirisha mfumo. Lakini watu wanashindwa kujua kama hii ni danganya toto uyu magufuli ashangai kwa dhati kutoka moyoni ni body language hiyo ili kuwalaghai wananchi
hongera Mkuu kwa kuliona hili,ukitaka kuvuka mafuriko usibishane nayo,fuata uelekeo wake taratibu utavuka salama,ndicho magufuli anachofanya
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari

Wakati Tundu Lissu anawapiga marufuku wananchi wake kuchangishwa ovyo magufuli alimuona Tundu Lissu mjinga na mpinga maendeleo leo ndo anastuka.It is too late
 
Hashangai mwanafunzi wa dalasa la kwanza, kila mwaka wanachanga mchango wa madawati! Aje ashangae wafanyakazi kukatwa PAYE kubwa!
 
Back
Top Bottom