idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,423
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.
Chanzo: ITV Habari
Chanzo: ITV Habari