Magufuli ashangaa wananchi kuchangishwa pesa

Magufuli ashangaa wananchi kuchangishwa pesa

Yeye ni Rais wa barabara tu na mishangao mengine hajui
 

Attachments

  • 1441906778801.jpg
    1441906778801.jpg
    58.2 KB · Views: 200
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari

sasa anashangaa kitu gani wakati anajua kabisa ndio utaratibu wa nchi hii kupitia serikali yake miradi yote ya maendeleo tunachangiaga?leo kipi kimshangaze wakati analijua hilo?kama ilikua inamkera alifanya nini wakati alikua kwenye baraza za mawaziri na ndio washauri wa rais?wewe muachen aendelee kuikosoa serikali yake vizuri ili hata tukitumia bvr zetu kuwachinja wasije sema tumewaonea
 
Anashangaa nini na wakati chama chake na yeye ndio wametufikisha hapa. Yaani ananiudhi sana na hiyo mishangao yake ya kuigiza.

mkuu nahisi alikua anaishi nje ya tanzania kwahiyo alikua hajui nch inavyoenda
 
Alikuwa mmojawao miaka karibu nusu ya maisha ya uongozi wa CCm. Kwa alishiriki kuuwa nchi hii Sasa anashangaa nini?

Mwaka huu kazi kweli kweli. maana hawa wagombea urais wa UKAWA na CCM kama wote wanafanana vile. Wote walikuwa CCM tangu mwanzo, Wote wanaonekana kupenda mabadiliko . Sasa sijui tumuamini yupi. Ama aliyetoka baada ya kukatwa ndo awebora kuliko mwingine? maana hata yeye anaonekana kubeba uccm tu.
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari
Mwaka huu kazi kweli kweli. maana hawa wagombea urais wa UKAWA na CCM kama wote wanafanana vile. Wote walikuwa CCM tangu mwanzo, Wote wanaonekana kupenda mabadiliko . Sasa sijui tumuamini yupi. Ama aliyetoka baada ya kukatwa ndo awebora kuliko mwingine? maana hata yeye anaonekana kubeba uccm tu.
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari
Too much bana, yeye kila siku na kila kitu anashangaa tu. Huyu hata akichaguliwa ataenda ikulu kushangaa tu.
 
Alikuwa mmojawao miaka karibu nusu ya maisha ya uongozi wa CCm. Kwa alishiriki kuuwa nchi hii Sasa anashangaa nini?

Vipi kuhusu Lowasa aliyekuwepo 3/4 ya maisha yake, fananisha monduli na chato utapata majibu, unless huna data
 
Halafu munataka mtu huyo leo tumpe urais!!! inaonesha alipokuwa bungeni alikuwa anasinzia. Hivi si yeye aliepitisha michango ya maabara. Uraisi kwake utaishia kwenye mikutano yake ya kampeni tu.

Lowasa alivyokuwa anapanda daladala, ina maana hakuwa anajua hadha ya usafiri wa daladala Dsm?Lowasa alikuwa Wazirı mkuu,leo analalama ubovu wa elimu sembuse waziri tu wa kawaida.Ila Chato hakuna hyo michango.L
 
ASHANGAZWE NA HAYA PIA!!
“Ni jamii iliyochoka na kuchakaa; ni jamii iliyooza na kuchoma pua kwa harufu ya uvundo wa rushwa na kujaza nzi wakubwa wa rangi ya Kijani, Ni jamii yenye ufisadi na ukandamizaji; ni jamii isiyojua mbele wala nyuma, ni jamii iliyokosa dira”. Bunge lipo kwa jina tu kwa sababu limewekwa kwapani na watawala; Madaraka ya Rais ni makubwa kwa kiwango cha kupora demokrasia: Utajiri wa nchi upo mikononi mwa kikundi kidogo cha “wateule” na watawala kilichowageuza wananchi wadunda kazi wasiofaidi jasho lao. Na pale maandamano ya wanawake, wanaume na vijana wenye njaa yanapopita karibu na Makazi ya Wenye nacho,Malodilofa husimama ghorofani, wakawatazama na kuuliza, “kulikoni?”. Na walipoambiwa kwamba yalikuwa ya “malofa” wenye njaa waliokosa mkate wa kila siku, wao walijibu: “Kama ni hivyo, kwa nini wasile nyasi na mihogo?”Vijana wanaangamia kwa kukosa maarifa mashuleni na wanaishia kubwia "unga" ambao ni biashara pendwa ya Malodilofa,vijana wasanii wenye vipaji mbalimbali wanageuka ombaomba na wakati wa Kampeni wanakuwa "lulu" kwa kutumika kujaza “nyomi” katika mikutano,wakulima wanazeeka kwa kazi ngumu mashambani na kukosa pembejeo za kisasa na mazao yao yanaishia kukopwa kwa bei ndogo ajabu,wavuvi wanachomewa nyavu zao walizonunua kwa wafanyabiashara wajanja wenye meno,wawindaji wa vitoweo wanaambiwa ni majangili huku tembo wakiuwawa kwa tama ya meno yao na twiga wakipandishwa ndege kwenda ulaya na Asia..Dah! wagonjwa wanakufa huku wamelala mzungu wanne sakafuni mahospitalini kwa kukosa madawa,wakina mama wanajifungulia vichochoroni kwa ubovu wa barabara, Na wanapoona malofa wanawapigia kelele kwa madai yao sahihi wanaamuru majeshi ya ndugu zao wanyonge wawapige mabomu ya machozi na kuwaua na kuwasababishia vilema vya maisha na kuwatesa waandishi wa habari zao za kilofa.Watawala wetu hivi leo wanatuhumiwa kumiliki mabilioni ya fedha wanayomiliki huku wakiyaita ni “vijisenti”, au “fedha ya mboga”, wakati kipato cha Watanzania walio wengi ni chini ya shilingi mia nane kwa siku. Wananchi wanapopiga kelele kugugumia bei kubwa ya kivuko wanaambiwa “Wapige mbizi” na pale ndege ya Rais na rada chakavu inaponunuliwa kwa pesa nyingi zenye asilimia kumi za wajanja wanaambiwa “Ni heri wale nyasi”…Pamoja na mikakati mikubwa na yakutumia fedha na rasilimali nyingi za walala hoi kwa ajili ya kuvuruga "Mabadiliko" kwa kuwanunua wanasiasa uchwara na kuwakashfu kuwa ni “wapumbavu,malofa na mbumbumbu”. Wakati umefika,chama kilichokuwa na dhamana ya haya yote kipumzishwe,ili kijitafakari,kitakapokuja kwa mara nyingine (MUNGU akikijaalia) kije kikiwa kamili....Kwa wakati huu,nathubutu kusema,Naichagua UKAWA,...sio kwa sababu za uimara wa CDM,CUF,NLD,NCCR MAGEUZI ama Uimara wa UKAWA la hasha!!Ila ni kwa sababu ya udhaifu wa CCM na ahadi ilizoshindwa kuzitekeleza kwa miaka 54 mfululizo.“ALUTA Continua, Victoria Ascerta”.... “The Struggle Continues, Victory is Certain”; ...Mapambano yanaendelea, Ushindi unakuja!! ≠HapaNimakwenziTu!!
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, John Magufuli, amesema ameshangazwa na utaratibu wa kuchangisha wananchi pesa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo wakati halmashauri zimetengewa bajeti. Ameyasema hayo katika harakati za kampeni huko mkoani Mara.

Chanzo: ITV Habari

Anashangaa wakati yupo ndani ya mfumo?
 
Alikuwa mmojawao miaka karibu nusu ya maisha ya uongozi wa CCm. Kwa alishiriki kuuwa nchi hii Sasa anashangaa nini?

Magufuli amekuwa serikalini miaka20,Lowasa 40.Km kuharibu ustawi wa nchı Lowasa kachangia pakubwa kuliko Magufuli.
 
Anashangaa nini na wakati chama chake na yeye ndio wametufikisha hapa. Yaani ananiudhi sana na hiyo mishangao yake ya kuigiza.

Hakujua jamani sasa wewe kwenu ukiwa hujui baba kazaa nje na badae ukue ujue hautashangaa? Si ndio kakukuza babako.
 
Ina maana katika utawala wake wananchi hawatachangishwa kwa ajili ya maendeleo Yao? Hivi serikali ikiwa ya kila kits inaweza? Nimeshangaa sana kusikia kauli hiyo!!!!!! Hizo Halmashauri zinapewa asilimia ngapi ya bajeti kutoka kwenye bajeti kuu ya serikali. Wakurugenzi nawaonea huruma!! Serikali ijenge hata matundu mawili ya vyao !!! Mmm ya Leo KaliKali
 
Vipi kuhusu Lowasa aliyekuwepo 3/4 ya maisha yake, fananisha monduli na chato utapata majibu, unless huna data

Nikilitazama hilo Lowassa sio mbinafsi kama Magufuli. Kaamgalie barabara iliyokuwa iende biharamulo imefika bwanga ikapinda kwenda chato kwa Magufuli na taa za barabarani kaweka kama sio ubinafsi ji nini??
 
Back
Top Bottom