Magufuli aonyesha ukakamavu zaidi ya Lowassa

Magufuli aonyesha ukakamavu zaidi ya Lowassa

Tuanhitaji kiongozi wa nchi siyo mkuu wa kikosi cha jeshi. Push-up zake au kukimbia mchakamchaka hakutatuondolea umasikini watanzania

Well said Mkuu.
Hata awe Mkakamavu kama Chuma,Ufanisi wa kiongozi unapimwa na Maamuzi yake sahihi siyo ya Kukurupuka.

ZNZ hakijaeleweka,yeye anajazwa sifa na Media
Poor tanzania
 
Hivi ile kashfa aliyoitoa msukuma kua xxxxxx alijinyea????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ni kweli?
 

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akikimbia kuonesha ukakamavu kwenda jukwaani kujinadi wakati wa moja ya mikutano yake ya kampemi .​

Peleka Matope yako kwenye Jukwaa la siasa.
Mda wa kampeni za Matusi na Majungu umepita,tunataka tujenge Nchi yetu Pimbi wewe.
 
Hili gari vipi lingetufikisha "uchumi wa kati" kufikia 2020?

Oooooh sijui dereva mzuri gari bovu, sijui dereva mbovu gari jipya! MY ASSS! Hili gari nashukuru hata kwenye gwaride la kuapishwa halikukatiza, pale ntu ingeanguka!
 
Back
Top Bottom