Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Mi nashangaa sana huyu Raisi wetu anavyojinadi kila siku et serikal iliyopita ilikuwa fisadi wakati hata yeye alikuwa kwenye iyo serikal.
Kwa mfano pale anapozungumzia ujenzi wa bomba la gesi kufanywa na wachina ambapo serikal ya Tanzania na contractor wa china walishirikiana kupiga pesa kwenye huu mradi. Hivi sio yeye alikuwa ni waziri wa ujenzi kipindi bomba la gesi linajengwa.
Au ntakuwa nimesahau alikuwa waziri wa uvuvi.
Serikali anayodai ilikuwa na mafisadi , hao mafisadi anao wazungumzia sijui ni wa namna gani maana viongozi waliopo serikali hii ni wale wale. hata anaowatumbua anawatoa shinyanga na kuwapeleka dodoma.
Ni yeye aliyeanzisha mahakama ya mafisadi kwa mkwala mzito ila leo mahkama imepigwa doro. watumishi wa mahakama wanaponda tu pesa za walipa kodi. Yeye hana machungu sababu halipi kodi. Hata chakula anachokula tunamgharamikia sisi.
Inabidi watanzania tufikia hatua tuamke sasa. Haiwezekani tunafanywa kama wa toto. Fisadi fisadi hata kumfikisha mahakamani hakuna.
Tumewachoka sasa

Kwa mfano pale anapozungumzia ujenzi wa bomba la gesi kufanywa na wachina ambapo serikal ya Tanzania na contractor wa china walishirikiana kupiga pesa kwenye huu mradi. Hivi sio yeye alikuwa ni waziri wa ujenzi kipindi bomba la gesi linajengwa.
Au ntakuwa nimesahau alikuwa waziri wa uvuvi.
Serikali anayodai ilikuwa na mafisadi , hao mafisadi anao wazungumzia sijui ni wa namna gani maana viongozi waliopo serikali hii ni wale wale. hata anaowatumbua anawatoa shinyanga na kuwapeleka dodoma.
Ni yeye aliyeanzisha mahakama ya mafisadi kwa mkwala mzito ila leo mahkama imepigwa doro. watumishi wa mahakama wanaponda tu pesa za walipa kodi. Yeye hana machungu sababu halipi kodi. Hata chakula anachokula tunamgharamikia sisi.
Inabidi watanzania tufikia hatua tuamke sasa. Haiwezekani tunafanywa kama wa toto. Fisadi fisadi hata kumfikisha mahakamani hakuna.
Tumewachoka sasa