Magufuli anatosha, atawale muda mrefu

Magufuli anatosha, atawale muda mrefu

Chem
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
Chema chajiuza kibaya chajitembeza ,Shetani kumgeuza malaika ni kazi ngumu sana ,Utahangaika sana kumpigia debe vitendo vyake vinajipambanua jinsi alivyo ,watanzania wote wana macho na masikio anachokisema na kufanya watu wanaona so unahangaika bure .
 
Hapa wengine tunaombea tu huo muda ukifika, watanzania wawe na mwamko wa kutosha ili hii dhamira ovu inayoendelea kujengeka siku hadi siku, iweze kushindwa.
 
Hapa nilipo namuomba malaika mtoa roho kila siku kila saa ili alipeleke jiwe hili kuzimu likatumike kama kalio la shetani
 
unaonaje ukimzawadia mkeo kwa jiwe ikiwa ni shukrani kwako kwenda kwake kwa utumishi wake uliotukuka
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
Nonsense
 
Wenye vyeti feki wana chuki sana.wanatoa povu hatari!! Wakati kila kitu kipo wazi.
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.

Ukweli ni kwamba Magufuri ni mzalendo wa kweli. Anaweka masilahi ya Tanzania mbele. Itapendeza awe Raisi wa maisha (Life President)
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
pumbavu huna lolote
 
"No matter how good a dancer you are you must leave the stage." Prof P L O Lumumba
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
pamoja sana
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
Haya ndiyo mawazo ambayo kila mtanzania mpenda maendeleo anayo.

Ila tunachoomba, mwakani baada ya uchaguzi, aunde baraza la mawaziri wenye uthubutu, wenye kuonesha wanayoyafanya ni uthubutu wao ba dhamira zao.

Si kama sasahivi wengi kawabeba kicheo na maslahi binafsi, lkn hawamsaidii kitu ni mawaziri mzigo.
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
Hakuna shida tupo pamoja
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
Samahani kidogo mkuu, kumbe nawe ni wa hovyo namna hii!!!!
 
Watanzania ni watu wasahaulifu na walalamikaji sana..Muda mrefu walikuwa wanataka kumpata mtu anayethubutu ashike hatamu..Sasa amepatikana kazi ni kumlaumu tu.

Mimi ninavyoona ni kuwa Mungu amejibu maombi yetu na kutupatia sio tu Rais Bali mtawala...watu wenye maamuzi magumu Kama MAGUFULI ni nadra duniani na akitokea anatakiwa ashikwe vizuri ili alete maendeleo..

We finally have a person ambaye anaweza kuua nyani huku akimwangalia usoni..huyu anatufaa. Hata uchaguzi Mimi nashauri tuachane nao...ni kupoteza hela tu.

Demokrasia kwenye nchi zetu hizi masikini haifanyi kazi na hata wazungu walileta demokrasia kwao baada ya kupata maendeleo.

Hata kwa Sasa kwa sababu tuna kiongozi mzalendo nashauri hata Bunge lifutwe tubaki na madiwani tu ili kubana matumizi vizuri.

Viongozi was upinzani wapewe nafasi serikalini ili waache kulalamika na wao watumikie wananchi.
We mleta mada kashone akili yako imefumuka
 
Atawale muda mrefu Lumumba CCM mpya, kwa nchi ya tanzania hapana, tunao vijana wengi wenye uwezo wa kuongoza zaidi yake,wanasubiri nafasi waipate waonyeshe vitu vyao.
 
Atawale muda mrefu Lumumba CCM mpya, kwa nchi ya tanzania hapana, tunao vijana wengi wenye uwezo wa kuongoza zaidi yake,wanasubiri nafasi waipate waonyeshe vitu vyao.
Taja hao vijana
 
Back
Top Bottom