Ninachojua mimi kura ni siri ya mpiga kura, kura ni haki ya mpiga kura, kura sio haki ya mgombea kuwa ataidai kwa lazima, kuwa asipopigiwa atawaadhibu wapiga kura.
Mgombea wa CCM anadhani kupigiwa kura ni haki yake analazimisha, anawafokea wapiga kura na kuwatisha.
Naomba Magufuli ajifunze kwa watangulizi wake walivyo kuwa wanafanya kampeni, Mwinyi hakuwa hivyo, Mkapa pamoja na ubabe wake lkn alijishusha, Kikwete ndiyo kabisa hadi chini alikaa, si kwamba hawakuwa na mamlaka yote kama yake lkn walikuwa ‘humble’, walikuwa karibu na wapiga kura wao.
The meaning of campaign is to maximize the little you have, even a single vote counts.
Unapomfokea mpiga kura unapomtisha kuwa hutamletea maendeleo, maana yake ni nini, hata kama alikuwa amepanga kukupigia kura anaweza kusita, atajiuliza kama hata kabla ya kumpigia ananitisha namna hii, je nikishampigia na akiwa na uhakika wa kura yangu si ataniumiza zaidi.
Magufuli ajue kura ni siri, akumbuke wapiga kura ni wajumbe sio wa kuwaamini sana kwa 100%, leo wanaweza kukwambia tuko pamoja lakini siku ya trh 28 Oktoba wakakushangaza.
Mgombea wa CCM anadhani kupigiwa kura ni haki yake analazimisha, anawafokea wapiga kura na kuwatisha.
Naomba Magufuli ajifunze kwa watangulizi wake walivyo kuwa wanafanya kampeni, Mwinyi hakuwa hivyo, Mkapa pamoja na ubabe wake lkn alijishusha, Kikwete ndiyo kabisa hadi chini alikaa, si kwamba hawakuwa na mamlaka yote kama yake lkn walikuwa ‘humble’, walikuwa karibu na wapiga kura wao.
The meaning of campaign is to maximize the little you have, even a single vote counts.
Unapomfokea mpiga kura unapomtisha kuwa hutamletea maendeleo, maana yake ni nini, hata kama alikuwa amepanga kukupigia kura anaweza kusita, atajiuliza kama hata kabla ya kumpigia ananitisha namna hii, je nikishampigia na akiwa na uhakika wa kura yangu si ataniumiza zaidi.
Magufuli ajue kura ni siri, akumbuke wapiga kura ni wajumbe sio wa kuwaamini sana kwa 100%, leo wanaweza kukwambia tuko pamoja lakini siku ya trh 28 Oktoba wakakushangaza.