njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,374
- 985
Ni kama vile kuna baadhi ya watu hawaamini km kwa sasa Tanzania ina Kiongozi imara, Jasiri na Mzalendo.
Speed yake ni kubwa na inatishia hata mustakabali wa maisha ya baadhi ya watu waliozoea za kuunga unga.
Nimesoma gazeti fulani linamtaja Mfanyabiashara mmoja ambaye amebwaga manyanga mchakato wa kununua KOKO BEACH na kuamua kumuunga mkono Mhe Magufuli badala ya kumpinga.
Kuna watu ktk Mkoa fulani waliomba ikiwezekana katiba ibadilishwe ili Rais wetu wa sasa akae zaidi madarakani, wengine walipinga tena kwa vijembe.
Mim binafsi naona km naanza kuwaelewa hawa watu hasa baada ya kusikia kauli ya MHE RAIS MSTAAFU kupitia chombo cha habari akitufumbua macho kwamba Rais wetu sio wa mchezo mchezo na ingekuwa mapenzi ya wanainchi kurefusha muda ingekuwa swadaktaa.
Haya ni maneno mazito kuwahi kutolewa na Mtu muhimu ktk taifa hili tuyachukulie kwa uzito mpana.
Tukiacha tofauti za kiitikadi za vyama vya siasa, ni wazi kuwa kwa sasa hakuna Rais Bora, Africa hata Duniani kama Magufuli.
Tuungane tumtunze Rais wetu ili aishi muda mrefu tufaidi ili atuvushe salama, hii ndiyo SAFARI HALISI YA MATUMAINI kuelekea Tanzania mpya, ileeee.
Hongera Mheshimiwa, nimeanza kukuombea.
Speed yake ni kubwa na inatishia hata mustakabali wa maisha ya baadhi ya watu waliozoea za kuunga unga.
Nimesoma gazeti fulani linamtaja Mfanyabiashara mmoja ambaye amebwaga manyanga mchakato wa kununua KOKO BEACH na kuamua kumuunga mkono Mhe Magufuli badala ya kumpinga.
Kuna watu ktk Mkoa fulani waliomba ikiwezekana katiba ibadilishwe ili Rais wetu wa sasa akae zaidi madarakani, wengine walipinga tena kwa vijembe.
Mim binafsi naona km naanza kuwaelewa hawa watu hasa baada ya kusikia kauli ya MHE RAIS MSTAAFU kupitia chombo cha habari akitufumbua macho kwamba Rais wetu sio wa mchezo mchezo na ingekuwa mapenzi ya wanainchi kurefusha muda ingekuwa swadaktaa.
Haya ni maneno mazito kuwahi kutolewa na Mtu muhimu ktk taifa hili tuyachukulie kwa uzito mpana.
Tukiacha tofauti za kiitikadi za vyama vya siasa, ni wazi kuwa kwa sasa hakuna Rais Bora, Africa hata Duniani kama Magufuli.
Tuungane tumtunze Rais wetu ili aishi muda mrefu tufaidi ili atuvushe salama, hii ndiyo SAFARI HALISI YA MATUMAINI kuelekea Tanzania mpya, ileeee.
Hongera Mheshimiwa, nimeanza kukuombea.