DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Magufuli atakuwa kachanganyikiwa.Jana nilibahatika kuangalia mkutano wake akiwa Geita.
Hajui anatakiwa aongee nini kama mgombea wa urais,hana ushawishi kabisa.
Alipoteza zaidi ya lisaa kwa kujisifia,mara awaambie akina mama wapige vigelegele!
Nilishangaa sana.
Nikikuuliza nawewe hapohapo Geita, stendi ya Chato mgombeawenu aliweza kufanya vitu alivyoshindwa Magufuli??