Magufuli aiteka Mbeya, UKAWA bye bye!

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
[h=3]MHESHIMIWA MAGUFULI AITEKA MBEYA[/h]

Mhe. John Magufuli akiwa katika Kampeni Mbeya akiungwa mkono na viongozi wengine pamoja na Wanachama.


Akihutubia Malefu wa Wananchi wa Mbeya


Mheshimiwa Magufuli akimsikiliza Mkazi wa Mbeya aliye kwenda kumuoa



Mheshimia Magufuli akipokea Baraka kutoka Masista Kanisa la Katoliki Mbeya


Wakazi wa Mbeya walivyo furika kumuoa Mheshimiwa Magufuli



Mheshimiwa Magufuli akisalimia na watu mbali bali



Mheshimiwa Magufuli akisalimia na watu mbali bali




Haya ni Zaidi ya Mafuriko.



Mbeya Nzima Yazizima baada ya Magufuli kutia Mguu wake.



HUYU NDIE RAIS WETU MTARAJIWA MHESHIMIWA MAGUFULI
 
Hahahahaaaa!
Mleta mada umeniacha hoi!
Mkuu niko mbeya since ujio wa lowasa wa 14/8 !

Ni kweli jamaa anapita sehemu mbali mbali mbeya ila pipo they busy like hakuna wajualo kuhusu Magufuli!
 
Hahahahaaaa!
Mleta mada umeniacha hoi!
Mkuu niko mbeya since ujio wa lowasa wa 14/8 !

Ni kweli jamaa anapita sehemu mbali mbali mbeya ila pipo they busy like hakuna wajualo kuhusu Magufuli!

Sema wewe hujui hujualo...
 
Ukiona magar na vibendera ndo watu wanauliza kwa kuna nini!

Kwa kifupi hakuna mwenye hiyo habar! Unless uniambie hapa kafanyia kiwanja gani whether wilayan au mkoani penyewe!

Mbeya nchi! Sugu rais!
Huwaambii kitu
 
Hahahahaaaa!
Mleta mada umeniacha hoi!
Mkuu niko mbeya since ujio wa lowasa wa 14/8 !

Ni kweli jamaa anapita sehemu mbali mbali mbeya ila pipo they busy like hakuna wajualo kuhusu Magufuli!

usijichekeshe, wewe tunakujua uko moshi usitudanganye ulikuwa Mbeya, hiyo nyomi inajieleza yenyewe, na kwenye TV tumeona
 
Hahahahaaaa!
Mleta mada umeniacha hoi!
Mkuu niko mbeya since ujio wa lowasa wa 14/8 !

Ni kweli jamaa anapita sehemu mbali mbali mbeya ila pipo they busy like hakuna wajualo kuhusu Magufuli!

nenda kakojoe ulale!
Inamaana hao waliokusanyika sio watu, au ni matako yako yaliyokusanyika!
 
Hahahahaaaa!
Mleta mada umeniacha hoi!
Mkuu niko mbeya since ujio wa lowasa wa 14/8 !

Ni kweli jamaa anapita sehemu mbali mbali mbeya ila pipo they busy like hakuna wajualo kuhusu Magufuli!

Ukiona magar na vibendera ndo watu wanauliza kwa kuna nini!

Kwa kifupi hakuna mwenye hiyo habar! Unless uniambie hapa kafanyia kiwanja gani whether wilayan au mkoani penyewe!

Mbeya nchi! Sugu rais!
Huwaambii kitu

Semeni kafanyia wapi huo mkutano!
Acheni taarabu


Hata kama una mapenzi binafsi na Lowassa usijitoe ufahamu!
 
Hii NCHI kweshineeeeii kabisa yaani sasa hivi ni ukanda tu hakuna sera wala nn yaan wame copy n paste ya kuleee visiwa vya karafuu pembazi n Ungujaz hatari .
 
Hii NCHI kweshineeeeii kabisa yaani sasa hivi ni ukanda tu hakuna sera wala nn yaan wame copy n paste ya kuleee visiwa vya karafuu pembazi n Ungujaz hatari .

Kwisha Habari yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…