Kuna habari nimeiona ikisema Magufuli airudishia CCM pumzi Arusha, inasemekana kulikuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wameshida. Mwenye taarifa kamili atujuze.
Hapa CCM wajifunze kuwa wananchi wanataka KAZI TU na siyo maneno maneno ya kwenye kanga bila kazia..mfano wataisoma namba nk.
MY TAKE
Wananchi msije mkafanya kosa hasa 2020 kuiapa ushindi CCM kwa kila ngazi hakikisheni upinzani unakuwa na kuongezeka hasa bungeni ikiwezekana iwe 50/50 na hapo ndipo tutawapata akina Magufuli wengi..
Hapa CCM wajifunze kuwa wananchi wanataka KAZI TU na siyo maneno maneno ya kwenye kanga bila kazia..mfano wataisoma namba nk.
MY TAKE
Wananchi msije mkafanya kosa hasa 2020 kuiapa ushindi CCM kwa kila ngazi hakikisheni upinzani unakuwa na kuongezeka hasa bungeni ikiwezekana iwe 50/50 na hapo ndipo tutawapata akina Magufuli wengi..