Magufuli aibomoa UKAWA Kanda ya Ziwa

Magufuli aibomoa UKAWA Kanda ya Ziwa

shida ya watanzania ni msimamizi tu, sasa hakuna mwenye shaka na magufuli juu ya usimamizi
 
Hata iweje - Kura yangu itaenda kwa Lowassa kwa kuichukia mno CCM.
 
Walianza ccm yabomoa ngome ya chadema arusha, Kilimanjaro na monduli kasha mambo yakawageuka, endeleeni kudanganyana tu
 
hakika ni ukweli usiopingika kuwa ukawa hawakuwa na ngome kanda ya ziwa ila kuwanunua na kuwasomba akina masawe ili waongeze nguvu na kuonesha kuwa wana umati mkubwa

Ukiwa unasema habar ya kubeba watu ue unaaangalia kaka!!!
Maake hayo maeno ya kisiasa yaskupe shda xanaa
Hakuna kuvunja ngome mahali popote arusha mlsema hayo hayo baadae mkabadlka tena klmanjaro mlsema hayo hayo baadae mkabdlka tena!!!
 

Attachments

  • 1445328588414.jpg
    1445328588414.jpg
    39.5 KB · Views: 171
Nafkri kwenye maswala ukanda na ukabila ndo inabd tuanze kuyazungumza hapa hv inakuwaje mgombea urais anaenda mahali akiwa anawahutubia watz wote amabao wamekusanyka mahali pamoja anatumia zaidi ya robo ya mda wake kwa kuongea kisukuma?? Na ukiangalia tz xaa kla mahal kuna mchanganyiko wa lugha zote
 
MASWALI MUHIMU.
1/Ni vyema ungetuambia kwanza UKAWA waliijenga hiyo ngome lini, na namna ilivyokuwa imara.

2/Pia ungetuambia makada wote wa CCM waliofika kanda ya ziwa kama Mkapa, Kinana, Kikwete, Samia ilikuwaje wakashindwa kuivunja hiyo ngome siku zote?

3/Hii ni mara ya Tatu Magufuli anakwenda kanda ya ziwa kufanya kampeni toka ateuliwe kugombea urais na mara zote anadai imevunja ngome, sasa ni ngome gani hiyo ambayo kila siku inavunjwa lakini inaendela kuwepo?

4/Mwisho ungetuambia pia ni lini CCM itaanza kujenga ngome yake huko kanda Ziwa baada ya kudai kuwa wamevunja ngome ya UKAWA?

Hakuna atakayekujibu hilo swali kiongozi,wengi wanazuga kama hawajaliona,bt point taken.
 
Hivi mnaongelea kanda gani? ni hii niliyopo Mimi na ambayo nitapiga kura? Huku tulishaaikataa ccm na mambo yake
 
Makomeo asiwadanganye na kujaza mikutano kwani malori hufanya kazi ya ziada ukijumlisha na fiesta. Mwanza hakuna ccm
 
Naona 4u wamelala....wakiamka hii thread itavamiwa kama mchwa..magufyuli oyeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hakika ujio wa Magufuli kanda ya ziwa umenifanya nianze kuiona taswira ya Tanzania niitakayo yenye mabadiliko ya kweli na sio ya kuzungusha mikono na kupanua vidole bali mabadiliko yatakayoleta maendeleo ya kweli
 
Back
Top Bottom