Magufuli aibomoa UKAWA Kanda ya Ziwa

Magufuli aibomoa UKAWA Kanda ya Ziwa

makoko jumanne

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
584
Reaction score
164
ngome ya ukawa katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa imebomolewa kwa kishindo na mgombea urais wa ccm Dkt John Pombe magufuli zikiwa zimebaki takribani siku nne kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 kote nchini hali inayompa nafasi kubwa mgombea huyo kushinda katika uchaguzi huo kwa kile kinachodaiwa ni kuungwa mkono na watanzania wengi,mijini na vijijini,wazee kwa vijana wanamuunga mkono mgombea huyo kwa kile walichodai kuwa ni mzalendo na mchapakazi.
 
ngome ya ukawa katika mikoa ya kanda ya ziwa imebomolewa kwa kishindo na mgombea urais wa ccm dkt john pombe magufuli zikiwa zimebaki takribani siku nne kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 kote nchini hali inayompa nafasi kubwa mgombea huyo kushinda katika uchaguzi huo kwa kile kinachodaiwa ni kuungwa mkono na watanzania wengi,mijini na vijijini,wazee kwa vijana wanamuunga mkono mgombea huyo kwa kile walichodai kuwa ni mzalendo na mchapakazi.

magufuli ndie rais. Period!
 
ngome ya ukawa katika mikoa ya kanda ya ziwa imebomolewa kwa kishindo na mgombea urais wa ccm dkt john pombe magufuli zikiwa zimebaki takribani siku nne kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 kote nchini hali inayompa nafasi kubwa mgombea huyo kushinda katika uchaguzi huo kwa kile kinachodaiwa ni kuungwa mkono na watanzania wengi,mijini na vijijini,wazee kwa vijana wanamuunga mkono mgombea huyo kwa kile walichodai kuwa ni mzalendo na mchapakazi.

hakika ni ukweli usiopingika kuwa ukawa hawakuwa na ngome kanda ya ziwa ila kuwanunua na kuwasomba akina masawe ili waongeze nguvu na kuonesha kuwa wana umati mkubwa
 
Poleni sana mazombie ya ccm. Kifo cha mabwana zenu kimefika. Sijui mtakimbilia wapi.
 
Hali hiyo haiepukiki kwa kuwa mgombea urais wa chama cha mapinduzi Dkt john POmbe Magufuli amekubalika kwa kiwango kikubwa na wananchi wote wameahidi kumpa kura hali ambayo imewapa wakati mgumu wapinzani na hivyo kuanza kuweweseka
 
Kanda yà ziwa kwa nature ni watu wa kazi, wapenda kazi na wanaoheshimu wanaofanya kazi. Magufuri ni mtu wa kazi ambaye anafanya kile kinachoaminiwa na wananchi wa huko na ndo maana mie toka siku ya kwanza nilishajua hii kanda iko na Magufuri, tunataka mtu wa kazi make sie kuchonga bila kazi si hulka yetu ..hii ndo kanda ya ziwa ya Magufuri
 
ccm hamtaamini masikio na macho yenu baada ya kupata matokeo kutoka kanda ya ziwa.Endeleeni kujifariji kwa kuwa msiba huu ni mkubwa.
 
Ingawa haipaswi kuongelea Ukanda, Magufuli kule ni kwao hata katika mikutani anawasalimia kwa kilugha, Lowasa ndo anabomoa vizuri kule Nyanda za Juu ambako sio Kanda anayotokea.
 
Tafiti nilizofanya nimegundua ni rahisi sana mwana ccm kubadilika na kumpa kura lowassa kuliko mwana ukawa kubadilika na kumpa kura magufuli!,matokeo tutaona
 
ngome ya ukawa katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa imebomolewa kwa kishindo na mgombea urais wa ccm Dkt John Pombe magufuli zikiwa zimebaki takribani siku nne kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 kote nchini hali inayompa nafasi kubwa mgombea huyo kushinda katika uchaguzi huo kwa kile kinachodaiwa ni kuungwa mkono na watanzania wengi,mijini na vijijini,wazee kwa vijana wanamuunga mkono mgombea huyo kwa kile walichodai kuwa ni mzalendo na mchapakazi.
Tangu mmeanza kusema Magufuli aibomoa UKAWA kanda ya ziwa ina maana kazi ya kuibomoa UKAWA kanda ya ziwa huwa haishi?maana yake kila Magufuli anapo kwenda kanda ya ziwa kufanya kampeni kinachofuata ni Magufuli aibomoa UKAWA kanda ya ziwa,hii ni kazi gani isiyokwisha?kama kazi ya kuibomoa UKAWA katika Kanda moja tu inamshinda pamoja na kupiga trip zaidi ya 100 akipewa urais wa Tanzania nchi yenye matatizo kila pembe si ndo tutamzika kabisa.
 
MASWALI MUHIMU.
1/Ni vyema ungetuambia kwanza UKAWA waliijenga hiyo ngome lini, na namna ilivyokuwa imara.

2/Pia ungetuambia makada wote wa CCM waliofika kanda ya ziwa kama Mkapa, Kinana, Kikwete, Samia ilikuwaje wakashindwa kuivunja hiyo ngome siku zote?

3/Hii ni mara ya Tatu Magufuli anakwenda kanda ya ziwa kufanya kampeni toka ateuliwe kugombea urais na mara zote anadai imevunja ngome, sasa ni ngome gani hiyo ambayo kila siku inavunjwa lakini inaendela kuwepo?

4/Mwisho ungetuambia pia ni lini CCM itaanza kujenga ngome yake huko kanda Ziwa baada ya kudai kuwa wamevunja ngome ya UKAWA?
 
Ccm endeleeni kujidanganya lakini jumapili ni kilio kwenu Hamna MTU wakuichagua ccm Mwaka huu
 
ngome ya ukawa katika mikoa ya kanda ya ziwa imebomolewa kwa kishindo na mgombea urais wa ccm dkt john pombe magufuli zikiwa zimebaki takribani siku nne kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 kote nchini hali inayompa nafasi kubwa mgombea huyo kushinda katika uchaguzi huo kwa kile kinachodaiwa ni kuungwa mkono na watanzania wengi,mijini na vijijini,wazee kwa vijana wanamuunga mkono mgombea huyo kwa kile walichodai kuwa ni mzalendo na mchapakazi.

ni mzalendo.....mchapakaz....
 
Back
Top Bottom