Magufuli aagana na rafiki yake Odinga

Magufuli aagana na rafiki yake Odinga

magufuli asipokuwa makini atasababisha mgogoro na rais Uhuru Kenyata...Haya mambo ya urafiki na wapinzani wa serikali sio mazuri kabisa..Kesho Uhuru Kenyata akianzisha urafiki na Maalim Seif itakuwaje
Hahahahaaa hata sijui kwanini ila nimecheka sana
 
Hivi uyo dada nyuma yao ndo yule anayesukaga twende kilioni?
Yaani huyo dada TISS hata mimi nashangaa, sijui hata kama anapata hata muda wa kupumzika na kujiremba kama mwanamke. Kwa kifupi huyo kama ana mme basi Bushoke
 
Mwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
Ww kama mwanamke malaya ambaye kazi yake ni kulalamikia hela tu..
Ww hapo ulalamika tu hata unachokilalamikia hukijui
 
Hivi Mama Salma Kikwete yupo!? Ila hivi vyeo ni shida, hivi karibuni nilikutana na Mama Anna Mkapa karibu na Immalaseko, yaani just ordinary person hamna msafara, wala ulinzi mzito, Duh!!!!
 
Yaani huyo dada TISS hata mimi nashangaa, sijui hata kama anapata hata muda wa kupumzika na kujiremba kama mwanamke. Kwa kifupi huyo kama ana mme basi Bushoke
akifikia hatua ya kutulia na mume atatolewa ktk level hiyo. ahsante
 
Mwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
Sitak amini kama ww ni Mtanzania!
Lol!
 
View attachment 334691 Rais Magufuli alitembelewa kijijini kwake Chato na rafiki yake kipenzi Raila Odinga kwa takribani siku tatu na leo Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Kenya ameondoka kurejea Kenya.

Safari ya R.O. itakuwa ya maana kama wameteta juu ya ubabe wa Zanzibar na MCC kwasababu R.O. anauhusiano mzuri na Obama halafu yeye alifanyiwa ubabe wa aina hii na Kibaki zamani kidogo Kama hawakufanya hivyo basi JPM na R.O. wote ni kama wanafiki.
 
Back
Top Bottom