Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,813
- 10,834
Woman diseases that affect grow of the breast feeding baby. Ni sawa au
We Msomali? Mbona Kiswahili chako hakieleweki? "....magonjwa yanayoasili ukuaji...." ndio nini?
Nimesikia kwamba kuna baadhi ya magonjwa ambayo mwanamke akiwa anaumwa hafu ananyonyesha, ugonjwa huo unakuwa unamyonya mwanae na kupelekea kuleta madhara katika ukuaji wa mtoto.
Me sio mswahili aisee. NiandikajeWe Msomali? Mbona Kiswahili chako hakieleweki? "....magonjwa yanayoasili ukuaji...." ndio nini?
Au Ningeandika " Magonjwa ya wanawake wanao nyonyesha yanayoleta athari katika ukuaji wa watoto"We Msomali? Mbona Kiswahili chako hakieleweki? "....magonjwa yanayoasili ukuaji...." ndio nini?