Magomeni na Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Magomeni na Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Magomeni Makuti

Magomeni Mikumi

Magomeni Mapipa

Magomeni Mwembechai
 
Huyo babu yako ni mjinga
Mnachi...
Aliongoza mgomo wa Railway 1947 na 1949 wa mwisho 1960 uliodumu kwa siku 82 akiwa President wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) aliyoiunda na Kassanga Tumbo 1955.

Muasisi wa TANU Western Province 1954.
Ningependa kusikia historia ya babu yako.
 
Du. mwanangu Mohamed, huchoki kujipost na issue ile ile!!!!😳😳😳😳😳😳
Father...
Sichoki na sababu kubwa ni vyombo vya habari havipungui Maktaba kunihoji.

Hawa ni TBC 1.
Siku watakapoacha nami nitapumzika In Shaa Allah.

Kuhusu issue.

Si Kila mtu anakuwa keshasikia mathalan historia ya Dr. Kweggyr Aggrey na Kleist Sykes katika kuunda African Association 1924.

Nikiulizwa siwezi kujibu kuwa nishaieleza historia hiyo.

Naanza kutoa darasa upya.
Vipi ndugu yangu.

Historia hii inakuchoma moyo?
Ikiwa huipendi historia hii huna haja ya kufungua post zangu.

''Delete'' au pita wima.

Kwenye hii mitandao kujitesa utake mwenyewe.
 
Father...
Sichoki na sababu kubwa ni vyombo vya habari havipungui Maktaba kunihoji.

Hawa ni TBC 1.

Siku watakapoacha nami nitapumzika In Shaa Allah.

Kuhusu issue.

Si Kila mtu anakuwa keshasikia mathalan historia ya Dr. Kweggyr Aggrey na Kleist Sykes katika kuunda African Association 1924.

Nikiulizwa siwezi kujibu kuwa nishaieleza historia hiyo.

Naanza kutoa darasa upya.
Vipi ndugu yangu.

Historia hii inakuchoma moyo?

Ikiwa huipendi historia hii huna haja ya kufungua post zangu.

Delete au pita wima.

Kwenye hii mitandao kujitesa utake mwenyewe.
Hakuna cha kutesa bali udadisi mwanangu. Ukiona napita, jua kuna madini natafuta. Isitoshe, mie si kijana tena wa kuhamaki zaidi ya kutaka kujua hata kama kuna mengi nayajua ambayo si historia. Eti historia inichome moyo!! Si mie wala si mtu wa kutetea mambo ya watu wala kuyapigia upatu walioyashobokea kiasi cha kujisahau. Mie ni Father of All sipaswi kuchukia wanangu bali kuwaelewa na waelewacho. .
 
Hakuna cha kutesa bali udadisi mwanangu. Ukiona napita, jua kuna madini natafuta. Isitoshe, mie si kijana tena wa kuhamaki zaidi ya kutaka kujua hata kama kuna mengi nayajua ambayo si historia. Eti historia inichome moyo!! Si mie wala si mtu wa kutetea mambo ya watu wala kuyapigia upatu walioyashobokea kiasi cha kujisahau. Mie ni Father of All sipaswi kuchukia wanangu bali kuwaelewa na waelewacho. .
Father...
Kauli yako ndiyo iliyonifanya nikufikirie kuwa hupendezwi na kalamu na video zangu.
Mimi husoma pia katikati ya mistari na kutoa maana kwa maneno nisomayo.

''Eti...''
''Waliyoshobokea...''

Haya yananitosha kuelewa nazungumza na mtu wa aina gani.
 
Back
Top Bottom