Mi ni msikilizaji mzuri sana wa Magic fm hususa ni kipindi cha Kupaka rangi asubuhi nashangaa nafungulia kama kawaida yangu nakutana na shiiiii shiiii shiii hamna saut wakat mwingine watangazaj wanaweza kuwa wanaongea ikakata ghafla..Rekebisheni hilo tatzo mnatunyima vitu wasikilizaji wenu.