Maghembe: Tanzania sio koloni la Kenya

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,982
144,306
Moshi. Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amesema Tanzania siyo koloni la Kenya kwamba kila mipango yake ya maendeleo itegemee Taifa hilo.

“Kenya siyo sehemu ya Tanzania na sisi (Tanzania) si koloni la Kenya. Kenya ni nchi tofauti, Uganda ni nchi tofauti, Uingereza ni nchi tofauti,” amesema Profesa Maghembe.

Profesa Maghembe ametoa kauli hiyo kufuatia malalamiko ya mawakala wa utalii wanaodai hatua ya Serikali kutoza Vat kwenye utalii kutaathiri sekta hiyo na kwamba, watalii wengi wamesitisha safari zao na wengi wameamua kwenda Kenya kwa vile nchi hiyo imeondoa kodi hiyo.

“Hizi ni kodi ndani ya Tanzania. Kenya ina mazingira tofauti kabisa na Tanzania. Hatuwezi kupanga kodi kwa maendeleo ya nchi yetu tukiwatazama wao,” amesema.

Chanzo:Mwananchi online
 
Moshi. Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amesema Tanzania siyo koloni la Kenya kwamba kila mipango yake ya maendeleo itegemee Taifa hilo.

“Kenya siyo sehemu ya Tanzania na sisi (Tanzania) si koloni la Kenya. Kenya ni nchi tofauti, Uganda ni nchi tofauti, Uingereza ni nchi tofauti,” amesema Profesa Maghembe.

Profesa Maghembe ametoa kauli hiyo kufuatia malalamiko ya mawakala wa utalii wanaodai hatua ya Serikali kutoza Vat kwenye utalii kutaathiri sekta hiyo na kwamba, watalii wengi wamesitisha safari zao na wengi wameamua kwenda Kenya kwa vile nchi hiyo imeondoa kodi hiyo.

“Hizi ni kodi ndani ya Tanzania. Kenya ina mazingira tofauti kabisa na Tanzania. Hatuwezi kupanga kodi kwa maendeleo ya nchi yetu tukiwatazama wao,” amesema.

Chanzo:Mwananchi online


Safi saana! Hii ndiyo aina uongozi niliyoisubiri maisha yangu yote, dadadeki!
Hatutaki Watalii masikini wa kugombania chips mayai na sisi kitaani, tunataka Watalii wa kuspend hela ndefu, hao watalii masikini kwanza wanaharibu mazingira yetu!
 
Moshi. Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amesema Tanzania siyo koloni la Kenya kwamba kila mipango yake ya maendeleo itegemee Taifa hilo.

“Kenya siyo sehemu ya Tanzania na sisi (Tanzania) si koloni la Kenya. Kenya ni nchi tofauti, Uganda ni nchi tofauti, Uingereza ni nchi tofauti,” amesema Profesa Maghembe.

Profesa Maghembe ametoa kauli hiyo kufuatia malalamiko ya mawakala wa utalii wanaodai hatua ya Serikali kutoza Vat kwenye utalii kutaathiri sekta hiyo na kwamba, watalii wengi wamesitisha safari zao na wengi wameamua kwenda Kenya kwa vile nchi hiyo imeondoa kodi hiyo.

“Hizi ni kodi ndani ya Tanzania. Kenya ina mazingira tofauti kabisa na Tanzania. Hatuwezi kupanga kodi kwa maendeleo ya nchi yetu tukiwatazama wao,” amesema.

Chanzo:Mwananchi online
Hatutarajii aje na lugha nyingine za kutafuta huruma kutoka kwa watanzania, mara oooo wenzetu kenya wamepunguza ushuru,mara ooo kenya wanautumia mlima wetu kilimanjaro kujiingiza watalii
 
hahaha! maghembe kakaza, nanilihu uchwara kalegeza. koloni la rwanda!


Raisi Magufuli ni genius watu mediocre hawawezi kumuelewa, hivi wewe unajua Kagame ni nani Dunia hii?
Unajua influence ya Kagame wewe kwa Wazungu?
Waulize Ufaransa na Ujerumani, Kagame ndiyo raisi pekee hapa Afrika anayeweza kuongea na wakubwa wa hii Dunia, Kagame ni namba nyingine usiguse kabisa ...
 
Sasa utalii wa kenya na Tanzania unafanana isipokuwa sisi tuna mlima Kilimanajro iweje tusiwaangalie? Naonaga kampuni ambazo zinauza bidhaa zinazofanana lazima zinaangaliana na kupanga kuendana na mwingine ili kuvutia wateja, why nitembelee Tanzania nilipe $1000 kwenda kuona simba, wakati naweza muona kenya kwa $500. Hawa maprof wa Tanzania ni wa ajabu Mno! Yaani maghembe ni mwepesi kichwani kama tissue!
 
Moshi. Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amesema Tanzania siyo koloni la Kenya kwamba kila mipango yake ya maendeleo itegemee Taifa hilo.

“Kenya siyo sehemu ya
Tanzania na sisi (Tanzania) si koloni la Kenya. Kenya ni nchi tofauti, Uganda ni nchi tofauti, Uingereza ni nchi tofauti,” amesema Profesa Maghembe.

Profesa Maghembe ametoa kauli hiyo kufuatia malalamiko ya mawakala wa utalii wanaodai hatua ya Serikali kutoza Vat kwenye utalii kutaathiri sekta

hiyo na kwamba, watalii wengi wamesitisha safari zao na wengi wameamua kwenda Kenya kwa vile nchi hiyo imeondoa kodi hiyo.



“Hizi ni kodi ndani ya Tanzania. Kenya ina mazingira tofauti kabisa na Tanzania. Hatuwezi

kupanga kodi kwa maendeleo ya nchi yetu tukiwatazama wao,” amesema.

Chanzo:Mwananchi
online

Mheshimiwa Rais yasikie hayo
 
Back
Top Bottom