Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
wadau jana Prof. Maghembe aligeuka kuwa kama JK kwenda kutembelea masoko ili kuona bei za mazao, ziara kama hizi zisizo na tija za kutafuta umaarufu zlishawahi kufanywa na JK ambazo mpaka leo hatujaona matunda yake na bei zilizidi kwenda juu sasa sijui waziri tu bei zitashuka?