Maana yake kuna makundi hasimu hapa! Na mtoa hoja kundi lake limezidiwa. Kwa mujibu wa Zitto Serikali haihusiki na utesaji wa Kibanda(ameitaka serikali iache siasa{longolongo} na kuiachia mahakama isiwe na upande ifanye kazi zake).Maggid
Nimesoma maelezo yako na nimekuelewa. Kamwe siwezi kushutumu Mtu hata nisiyemjua na kisha kumhukumu. Nimesema hata huyo Luddo mpaka sasa Ni mtuhumiwa tu hivyo Bado Ni innocent. Hatua ulizochukua Ni sahihi Kabisa.
Ndugu Lwakatare mpaka sasa Ni mtuhumiwa tu pia.
Kuna watu hapa wana majibu Yao tayari kuhusu kesi hii. Sitatia neno maana kwanza kesi ipo mahakamani na chama changu kimeshatoa tamko. Sina la kuongeza.
Wale wenye midomo mipana ya kusema Kila Kitu waseme tu maana Ni midomo Yao pia hailipiwi kodi. Wakati mwingine hao ndio wale Chinua Achebe anasema wanaolia sana msibani kuliko wafiwa wenyewe. Njia bora Ni kutowajibu na kuvuta Subira maana hatimaye ukweli utajulikana tu.
Uwongo hupanda ngazi Kwa lifti, ukweli Kwa ngazi lakini utafika tu na wasema uwongo na waropokaji wataumbuka.
Tukio la Kibanda na lile la wana habari na Watanzania wengine walioteswa na kuumizwa au kuuwawa linatia simanzi sana. Inasikitisha watu wanapoweka siasa kwenye matukio haya.
Tuache Haki itendeke na kuhakikisha kweli Haki sio tu itendeke bali pia inaonekana inatendeka.
Watesaji wa Kibanda tutawapata tu na wao na waliowatuma watafikishwa mbele ya mahakama. Hatuwezi kuacha watesaji kutamba na kuendelea kutesa watu wengine.
Serikali iache siasa kwenye hili, mahakama itende Haki.
Hakuna watu wa wabaya kama aina ya mjengwa. Nimemsoma sna huyu jamaa na kuhitimisha kuwa ni mnafiki. Hapendi msimamo wake ujulikane waziwazi mbele ya wakubwa. Kwa lugha ya mitaani naweza kusema ANAJIKOMBA.Nimesoma hadi nilipofika kwenye hii sentensi nikagundua kuwa kumbe nasoma unafiki. Mjengwa wewe ni mojawapo ya watu walioguswa na yaliyotendwa kwa Mwangosi na Ulimboka, na nakumbuka comments zako.
Lakini pia kama mwandishi wa habari, ni wazi kuwa umekuwa ukifuatilia kwa karibu utendaji wa vyombo vya usalama Tanzania. Unless wewe ni mmoja wao kwa namna moja au nyingine, sikutegemea sentensi kuwa "Ni bahati nyombo vya usalama Tz vinafanya kazi kwa ueledi"... sikutarajia...
Ugaid ni tatizo kubwa,kujitetea kwako kunaonyesha Kuna kitu,wewe nae ni wa kuungwanishwa kama Mbowe na Slaa nao inavyobid waunganishwe,CHADEMA Kuna tatizo kubwa,yote ni Mbowe na Slaa.
Ugaid ni tatizo kubwa,kujitetea kwako kunaonyesha Kuna kitu,wewe nae ni wa kuungwanishwa kama Mbowe na Slaa nao inavyobid waunganishwe,CHADEMA Kuna tatizo kubwa,yote ni Mbowe na Slaa.
Kwa mujibu wa maelezo ya Mtela Mwampamba POMPO ni ID ya Ludovick Rwezaula, mtuhumiwa wa kesi husika. Kama maelezo yake ni kweli basi ni ishara ya maendeleo kuona mahabusu zetu zimekuwa za kisasa kiasi kwamba watuhumiwa wanaweza kuendelea kuwasiliana na Raia kwa njia ya kisasa kabisa!
Hii inamaanisha ujumbe uliokaririwa hapo juu umeandikwa na Ludovick!
Mkuu Pompo, kiukweli siku ile, mimi nilionewa!, aliyetaja fulani ni fulani ni mwingine, mimi niliichukua tuu hiyo quote ya fulani ni fulani, ndipo nikaichambua tena bila hata kutaja jina!, cha ajabu, huyo fulani, badala ya kumtaka aliyemtaja kuwa yeye ndiye fulani, akanitaka mimi niyequote eti ndiye nithibitishe, akanipa na masaa, akaniripoti kwa modes, na kulishwa ban papo kwa papo!. Cha ajabu aliyemtaja fulani ndiye fulani, sio tuu hakutakiwa kuthibitisha, bali pia hakupewa adhabu yoyote!, bali aliye quote fulani ni fulani, ndie aliyetakiwa kuthibitisha na kula ban on top of that!.Nashkru nadhani nitatendewa HAKI kama mlivyofanya kwa Pasco
Nakumbuka sana hilo sakata, ulilalamika sana hata Invisible wengine tulimu-PM kuhusu issue yako, na mlalamikaji (PA) nilimuPM na kusema umeonewa, as u said they are humans, tuendelee kuboresha jamvi letu ipo siku HAKI zitatendeka.Mkuu Pompo, kiukweli siku ile, mimi nilionewa!, aliyetaja fulani ni fulani ni mwingine, mimi niliichukua tuu hiyo quote ya fulani ni fulani, ndipo nikaichambua tena bila hata kutaja jina!, cha ajabu, huyo fulani, badala ya kumtaka aliyemtaja kuwa yeye ndiye fulani, akanitaka mimi niyequote eti ndiye nithibitishe, akanipa na masaa, akaniripoti kwa modes, na kulishwa ban papo kwa papo!. Cha ajabu aliyemtaja fulani ndiye fulani, sio tuu hakutakiwa kuthibitisha, bali pia hakupewa adhabu yoyote!, bali aliye quote fulani ni fulani, ndie aliyetakiwa kuthibitisha na kula ban on top of that!.
Sikuitafuta haki zaidi kwa sababu modes pia they are humans!.
Pasco.
Ndugu good2015 kwa nini umeamua kututukana kiasi hiki? Kwanini usijenge hoja kupinga tunayo yaandika wewe una jenga matusi? Hii ni ishara ya kushindwa mapema!