A man of God
Member
- Sep 5, 2015
- 65
- 14
leo nimesoma katika gazeti la Mizengwe ya Uchaguzi. lakini nilichoshangaa ni kwamba karibu gazeti zima linakosoa juhudi za UKAWA kutaka kuchukua nchi. mara nyingi limemkosoa Lowassa na Sumaye kwa kuhama CCM. Kwa mfano kichwa cha leo kinasema Edward Lowassa awaambia watanzania waache upumbavu. lakini ukisoma kwa ndani utagundua kwamba kuna negative tu zinazungumzwa kuhusu Lowasa na Ukawa kwa ujumla isipokuwa kuna makala moja ambayo imeelezea namna watu walivyochoshwa na maisha magumu. jamani swali langu nataka kujua Eric Shigongo ni kada wa CCM na kama ni hivyo je na vyombo vyake navyo ni kada wa CCM. Kama anataka hivyo basi awaambie watu wajue kimoja baada ya uchaguzi hakuna kusoma magazeti yake