Magazeti ya Serikali ni machochezi na chanzo cha Vurugu......huu ni ujinga

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Yaani imenishangaza sana kuona magazeti ya serikali yanabeza mazungumzo ya amani yaliyofikiwa kati ya CHADEMA na Police. Watu wameitana wakaelezana vizuri na kushauriana kutoandamana ukizingatia uwepo wa Ugeni wa Rais wa China na kwamba duniani wengi kwa sasa wanaitazama Tanzania kwa karibu, lakini magazeti ya Uhuru na Jambo Leo yanaandika vichwa vya habari kuwa "Mbowe maji ya Shingo.....asalimu Amri" CHADEMA wasalimu amri n.k. Hii ni sawa na mtu kukuita mkaafikiana jambo alafu kesho yake anakwambia wewe ni lijinga kwa kukubali maafikiano.

Kusalimu amri ni pale ambapo pande mbili zinakinzana kwa mbali pasipo kukaa mezani na mmoja ana give up. Sasa kwa lugha za kipuuzi namna hii nani atakubali kukaa na serikali tena mezani wakati baada ya hapo mnasema fulani kaufyata?

Serikali inabidi iwe makini kwa kukemea vyombo vyake. Huu ni ujinga na inaonesha wanatamani confrontation masaa yote. Nawaambia tena huu ni ujinga.
 
Ndiyo maana tunasema pasipo kuushika ukweli na tukaukamata sawa sawa, hatutasogea mbele hata siku moja!! nani hatamani kuona habari zenyewe mashiko zisizokuwa na kuegemea upande mmoja, hata kama CHADEMA wangekuwa mia moja, lakini wanapaswa kuheshimika. Lakini pia, mwandishi pamoja na mhariri hawatumii vizuri professional zao, na pengine wako pale kwa msukumo wa watu wengine.
 
Yaani imenishangaza sana kuona magazeti ya serikali yanabeza mazungumzo ya amani yaliyofikiwa kati ya CHADEMA na Police. Watu wameitana wakaelezana vizuri na kushauriana kutoandamana ukizingatia uwepo wa Ugeni wa Rais wa China na kwamba duniani wengi kwa sasa wanaitazama Tanzania kwa karibu, lakini magazeti ya Uhuru na Jambo Leo yanaandika vichwa vya habari kuwa "Mbowe maji ya Shingo.....asalimu Amri" CHADEMA wasalimu amri n.k. Hii ni sawa na mtu kukuita mkaafikiana jambo alafu kesho yake anakwambia wewe ni lijinga kwa kukubali maafikiano.

Kusalimu amri ni pale ambapo pande mbili zinakinzana kwa mbali pasipo kukaa mezani na mmoja ana give up. Sasa kwa lugha za kipuuzi namna hii nani atakubali kukaa na serikali tena mezani wakati baada ya hapo mnasema fulani kaufyata?

Serikali inabidi iwe makini kwa kukemea vyombo vyake. Huu ni ujinga na inaonesha wanatamani confrontation masaa yote. Nawaambia tena huu ni ujinga.

inaonekana wewe ndio mjinga mana unachoandika hata hukijui.........umekurupuka na bange na hang over za wkend umetuletea kamasi hapa....hapo kwenye red hayo sio magazeti ya serikali.
 
Kwani uongo? Amesalimu amri baada ya kusikia kifungo cha mwaka. Cheza na Kova wewe.


Mbona uchochezi wa gazeti la Mbowe hamsemi kitu?
 
Fani ya waandishi wa habari imevamiwa na "vihiyo" na mbaya zaidi imetekwa na wanasiasa!
 
DSC03239-450x600.jpg
 
Yaani imenishangaza sana kuona magazeti ya serikali yanabeza mazungumzo ya amani yaliyofikiwa kati ya CHADEMA na Police. Watu wameitana wakaelezana vizuri na kushauriana kutoandamana ukizingatia uwepo wa Ugeni wa Rais wa China na kwamba duniani wengi kwa sasa wanaitazama Tanzania kwa karibu, lakini magazeti ya Uhuru na Jambo Leo yanaandika vichwa vya habari kuwa "Mbowe maji ya Shingo.....asalimu Amri" CHADEMA wasalimu amri n.k. Hii ni sawa na mtu kukuita mkaafikiana jambo alafu kesho yake anakwambia wewe ni lijinga kwa kukubali maafikiano.

Kusalimu amri ni pale ambapo pande mbili zinakinzana kwa mbali pasipo kukaa mezani na mmoja ana give up. Sasa kwa lugha za kipuuzi namna hii nani atakubali kukaa na serikali tena mezani wakati baada ya hapo mnasema fulani kaufyata?

Serikali inabidi iwe makini kwa kukemea vyombo vyake. Huu ni ujinga na inaonesha wanatamani confrontation masaa yote. Nawaambia tena huu ni ujinga.

Uchochezi uko wapi hapo? Mimi sijaona uchochezi hapo....
 
acha wehu wako mleta mada, hili ni gazeti la jambo leo, wapi kuna hayo maneno ya kejeli?????????usiwe mjinga wa kudumu

DSC03245-418x600.jpg
 
Uchochezi uko wapi hapo? Mimi sijaona uchochezi hapo....

mleta mada ana hang over ya maandamano, alijikoki na viroba akasizi sasa anaumia kukosa maandamano.msamehe bure mkuu, ndio wajinga wachache tulionao, tuwaelimishe wataelewa tu
 
Hayo magazeti ovyo sana,waandishi wao makanjanja

Jambo Leo,Uhuru wakiandika hayo sitingishiki lakini Habari Leo gazeti la serikali,linaloendeshwa kwa fedha za walipa kodi this is bullshit,hawafai na hili gazeti ni chonganishi kuliko kawaida rejea mambo ya kidini,kisiasa na kijamii hawana soni kabisa
Inawezekana ndio maelekezo ya Assa Mwambene na Salva Rweyemamu ,Kova anajifanya ana jeshi la kulinda hapa Dar eslaam tupo milioni tano wao hawafiki alfu moja wawe na adabu wakati mwingine,Polisi wanajua kabisa wananchi sasa hivi ni rebelious na hawana uwezo wa kucontain hali hizo bila mazungumzo na vyama vya siasa vinginevyo kila mtu akijifanya anajua kutoa ngebe ukweli anazidisha hasira kwa wananchi matokeo yake ni polisi kupopotolewa mawe mpaka vifo leo ni kwa polisi wadogo kesho itakuwa kwa wakubwa
 
Waandishi wa gazeti la uhuru hawaonagi hata aibu ngoja ccm iondoke kama watapata hayo matangazo kutoka serikalini!!!!!!!!!!
 
Waandishi wengi wa hayo magazeti ya mafisadi hawanywi chai asubuhi na badala yake wanakunywa UTOKO ndo maana akiri zao ni za kitoko.
 
Kwani uongo? Amesalimu amri baada ya kusikia kifungo cha mwaka. Cheza na Kova wewe.


Mbona uchochezi wa gazeti la Mbowe hamsemi kitu?

unaogopa sana kifungo tena cha mwaka mmoja, wewe ni mavi kama mwenyekiti wako..kama chadema tunaongopa vifungo hakuna haja ya kuvaa magwanda na kujiita makamanda, ukombozi hauji kwa kuogopa vifungo kuna watu walishafungwa miaka na kuna wengine mpaka sasa wako gerezani kwa kesi za magumashi na kuna makamanda waliwahi kujipeleka gereza
 
unaogopa sana kifungo tena cha mwaka mmoja, wewe ni mavi kama mwenyekiti wako..kama chadema tunaongopa vifungo hakuna haja ya kuvaa magwanda na kujiita makamanda, ukombozi hauji kwa kuogopa vifungo kuna watu walishafungwa miaka na kuna wengine mpaka sasa wako gerezani kwa kesi za magumashi na kuna makamanda waliwahi kujipeleka gereza
Matusi, matusi ,matusi, hiki ndio kiwango cha akili yenu. Kuna makamanda wawili walionyesha umwamba wao Arusha, mmoja aliruka ukuta na mwingine alijificha nyuma ya spika.
 
Yaani imenishangaza sana kuona magazeti ya serikali yanabeza mazungumzo ya amani yaliyofikiwa kati ya CHADEMA na Police. Watu wameitana wakaelezana vizuri na kushauriana kutoandamana ukizingatia uwepo wa Ugeni wa Rais wa China na kwamba duniani wengi kwa sasa wanaitazama Tanzania kwa karibu, lakini magazeti ya Uhuru na Jambo Leo yanaandika vichwa vya habari kuwa "Mbowe maji ya Shingo.....asalimu Amri" CHADEMA wasalimu amri n.k. Hii ni sawa na mtu kukuita mkaafikiana jambo alafu kesho yake anakwambia wewe ni lijinga kwa kukubali maafikiano.

Kusalimu amri ni pale ambapo pande mbili zinakinzana kwa mbali pasipo kukaa mezani na mmoja ana give up. Sasa kwa lugha za kipuuzi namna hii nani atakubali kukaa na serikali tena mezani wakati baada ya hapo mnasema fulani kaufyata?

Serikali inabidi iwe makini kwa kukemea vyombo vyake. Huu ni ujinga na inaonesha wanatamani confrontation masaa yote. Nawaambia tena huu ni ujinga.

Amesalimu amri kweli!!!!!..... kwani wewe ulikuwa hujui? Jamaa zamani walikuwa hawajali kama kuna ugeni ama la... Wao ni kuandamana tu. Sasa amesalimu amri baada ya kuona kila akiandamana hakuna kinachobadilika.....
 
Back
Top Bottom