Wana JF
Nilianza kufatilia magazeti ya New Habari tangu siku walipoandika Coverage ya Arusha siku hiyo ndio nilinunua gazeti loa Mtanzania kwa mara ya kwanza,baada ya kutolinunua kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Jamani najiuliza leo nimesoma RAI na jpili nilisoma gazeti la Mtanzania na kwa muda tu magazeti haya yamekua na muelekekeo ambao kwa hali ya kawaida usingelitarajia najiuliza kuna mabadiliko gani? wenye Taarifa mtujulishe tusaidieni yamekua na muelekeo tofauti na ule tuliokua tunautarajia.
OUT OF CURIOUSITY
Nilianza kufatilia magazeti ya New Habari tangu siku walipoandika Coverage ya Arusha siku hiyo ndio nilinunua gazeti loa Mtanzania kwa mara ya kwanza,baada ya kutolinunua kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Jamani najiuliza leo nimesoma RAI na jpili nilisoma gazeti la Mtanzania na kwa muda tu magazeti haya yamekua na muelekekeo ambao kwa hali ya kawaida usingelitarajia najiuliza kuna mabadiliko gani? wenye Taarifa mtujulishe tusaidieni yamekua na muelekeo tofauti na ule tuliokua tunautarajia.
OUT OF CURIOUSITY