Marekani amekimbia kutoka Afghanistan lini? Taliban walikua wanatumia mbinu gani?Za kisasa au kizamani?Kwa hiyo wewe unafikiri mbinu za vita za miaka 50 iliyopita bado zinatumika leo?!
Marekani amekimbia kutoka Afghanistan lini? Taliban walikua wanatumia mbinu gani?Za kisasa au kizamani?Kwa hiyo wewe unafikiri mbinu za vita za miaka 50 iliyopita bado zinatumika leo?!
We angalia kikundi cha watu 30 wamejikusanya dhidi mbabe mmoja tuUwoga wa NATO ndo silaha kubwa anayoitumia Urusi l mean kuwatisha nao wanatishika,mrusi huku anaendelea kujiimarisha mwisho wa siku atakuwa anatafuta mbinu anadaka mmoja mmoja ndo utakuwa mwisho wao.
Kwa akili unadhani Urusi akipingwa hawezi kujibu chochote?Hasira wapi? Kwa akili zako unafikiri Russia na uchumi wake anaweza pigana na G7 Giant
😂😂😂😂We angalia kikundi cha watu 30 wamejikusanya dhidi mbabe mmoja tu
Siyo tu G7 hata zikiwa G8 hazina ubavu wa kupigana na Russia hivi kwani Ukraine kuchakaa vile unadhani hao NATO wanafurahi? Kila wakati Zelensky alipoomba long range missiles hakuna nchi ilokubali kuzitoa kuanzia jogoo USA Hadi mtembe UK na hata ujeruman chini cancellor aliyepo sasa hivi amekataa kwanini sababu wanaogopa direct confrontation na RUSSIAHasira wapi? Kwa akili zako unafikiri Russia na uchumi wake anaweza pigana na G7 Giant
Mwenzao yupi..?⁉️Si wangie kwa ground mzee, NATO wamemponza mwenzao, anachakazwa,
Na wanapanga kumtelekeza.