GE2010 Magazeti ya kimapinduzi tz

Njowepo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
9,710
Reaction score
2,251
Nikimaanisha Mwanahalisi na Raia Mwema.
Jana nilibahatika kuwahoji baadhi ya wauza magazeti kuhusu magazeti gani huwa wanayauza sana.
Wengi wao wakasema ikifika mida ya saa kumi jioni ni vigumu kuendelea kuwa na copy za hayo magazeti hayo kwenye meza za mauzo.
Nikaangalia vichwa vya habari jana
Raia mwema “Dk Slaa amnyima usingizi Kikwete”
Mwanahalisi “Umaarufu wa JK feki”
MY TAKE
Naona watanzania wa sasa wanapenda kujua undani wa mambo mbalimbali ya nchi yao kwa kina na si kwa usanii na uwoga.
 
For sure,magazeti hayo ni ya ukweli sana,sio kama rai ambalo limegeuka gazeti la udaku
 
Huwa sitaki kukosa magazeeti haya,kiukweli kama ni kuku "nakula nadi mifupa"
 
nyie huwa mnapata kopi? Nina wiki mbili sasa nakuta yameisha saa 7 ninapotoka kwa lunch.
 
Hayo sio magazeti ya udaku ndio maana huwa yanakwisha mapema, nadhani wabongo wamechoka na vijarida vya udaku
 
Kwani vipi magazeti ya UHURU na MZALENDO, mbona sijawahi kuona mtu akiyanunua na kuyasoma? CCM inawanachama mil. 5 ina maana huwa hawasomi habari za chama chao?
 
Mwananchi na Tanzania Daima pia yanauzika sana. kwa upande wa kiingereza the Citizen na This Day.
 
Kwani vipi magazeti ya UHURU na MZALENDO, mbona sijawahi kuona mtu akiyanunua na kuyasoma? CCM inawanachama mil. 5 ina maana huwa hawasomi habari za chama chao?

Kadi zao wote zimelipiwa na Manji. Wewe unashikishwa kadi tu! Na ada miaka 5 unalipiwa!

Hapo hapo kila mtanzania analipishwa kodi inayowagharimia waandishi wa huo uchafu unaoitwa magazeti
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…