Magari

Daaah brother wewe ni smart sana ,,mungu akuweke
 
Daaah brother wewe ni smart sana ,,mungu akuweke
Brother mimi pia nimeingia kwenye ulimwengu wa ndinga ...nimepata vitz old model ,,ndo nimeanza nayo rasmi maisha ya kutembea kwa kukaa ...naomba uzoefu wako na Nasaha zako kwenye Kuichambua gari hii ...Ahsante nawasilisha
 
Brother mimi pia nimeingia kwenye ulimwengu wa ndinga ...nimepata vitz old model ,,ndo nimeanza nayo rasmi maisha ya kutembea kwa kukaa ...naomba uzoefu wako na Nasaha zako kwenye Kuichambua gari hii ...Ahsante nawasilisha
Safi na hongera mkuu.

Anza kwa kuipenda gari ifanyie service. Uzuri service ya Toyota sio gharama saana. Kwa ushauri, peleka service ya oil, ATF, na vitu vidogo vidogo.
 
Tafuta yenye piston 4 na kawe na turbo Huwa kinachanganya fresh, yaani wakongo, wazambia, Malawi vinawafikia kupitia bandari ya dar itakuwa hapo mwanza TU dar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…