Foleni huwa ndefu sana kuanzia soko la sambusa kigogo mpaka mataa ya Karume. Kuna magari yanaenda Ilala hadi Buguruni kupitia barabara ya mafao. Swali langu hawa watu wanaokwenda ilala Buguruni wakipitia service road ya Shule ya Msimbazi waje watokee Mafao Road hukamatwa.
Je, huwa kosa gani hasa? Maana wanakwepa foleni pia nakupunguza mlolongo wa magari sehemu moja kwanini isiwe ruhusa kupitia service road ya Msimbazi centa na Ramada Hotel unatokezea mafao.
Je, huwa kosa gani hasa? Maana wanakwepa foleni pia nakupunguza mlolongo wa magari sehemu moja kwanini isiwe ruhusa kupitia service road ya Msimbazi centa na Ramada Hotel unatokezea mafao.