Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,318
tajili=tajiriAmesemwa muda mrefu kuhusu yy ni tajili wa ghafla/ akubali achunguzwe kama kweli anajiamini yy hana utajili wa ghafla.anaongelewa sana huyu jamaa miladi mingi inayofanyika hapa tz lazima nae atajwe,sie tunaamini sababu lisemwalo lipo, kwa nini asemwe yy?, hata kwenye kuzoa taka dar anatajwa mtaan/athibitishie umma kwamba tuhuma hizi c zakweli
Kama ulikuwepo usiku huo je huoni kuwa wewe ni msaliti na ulipaswa uwe umekufa kwa usaliti wako!!! lakini pili hizo dawa za kulevya/meno ya tembo unaona ndivyo pekee vya kufanywa na mtoto wa rais? unadhani kama wewe ulikwenda na ukashindwa kuona haki inatendeka je unastahili kuaminiwa? tatu Riz ni nani zaidi ya baba yake kuwa rais? hivi kupeleka madawa haya ni rahisi hivyo! na ulinzi wetu no dhaifu hivyo! mhhhh! waongo nao waliumbwa wanastahili kuheshimiwa!!!
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
acha wivu wa kike ngoja na wewe baba yako awe raisi upige hela kama yeye
Siungi mkono hoja hii mambo ya kusema magari au kitu fulani ni cha mtu fulani bila ya kuwa na ushahidi wa ata wa kimazingira hii naikataa na umu JF tuikemee sana sababu hii trend ya kila magari na mabasi kuwa ya RIDHIWAN na kila maghorofa kuwa ya LOWASSA mimi naona ni utoto emu tuje na data ili tuende sawa.
Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?
Mtoto wa nyoka ni....Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
Ila dogo kazidi kah!Hi kama baba ndio rahisi, we kwa akili zako zaidi kuvukia barabara unafikiria dogo ndo awe mwkota chupa?
Tusidanganyane hapa.Hata ww baba ako ange kua rahisi wewe unge tusumbua sana.