Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Swali utajiri huu ameutoa wapi?
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
Sasa badala la kutafuta ushahidi wa kitaalam kwanza kama zake unakimbilia kuhoji alikotoa utajiri. Je tukijadili alikotoa utajiri halafu baadae tukagundua gari hazikuwa zake?
Kijana katumia vizuri nafasi ya mshua, Golden chance never come twice!!
Nasikia ana hisa lake oil, anajenga kiwanda cha cement Kigamboni duh
uuuuuuiiiiiiiiii Tanzania
sasa badala la kutafuta ushahidi wa kitaalam kwanza kama zake unakimbilia kuhoji alikotoa utajiri.je tukijadili alikotoa utajiri halafu baadae tukagundua gari hazikuwa zake?
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
Nimewahoji madereva Kama Sita hivi, wanasema ni za Rizwan, na watu wa custom, nimehoji mbona Haya magari yanapita tu? Nikajibiwa ni za wakubwa. Sasa ushahidi gani unataka?
Siungi mkono hoja hii mambo ya kusema magari au kitu fulani ni cha mtu fulani bila ya kuwa na ushahidi wa ata wa kimazingira hii naikataa na umu JF tuikemee sana sababu hii trend ya kila magari na mabasi kuwa ya RIDHIWAN na kila maghorofa kuwa ya LOWASSA mimi naona ni utoto emu tuje na data ili tuende sawa.