Magari ya polisi kubeba mkaa

Magari ya polisi kubeba mkaa

Leo nilikuwa mahali kwenye mishe nimeshudia gari 'mpya' za polisi zilizokarabatiwa kule Moshi zikipita kwa mbwembwe. Lakini cha kushangaza kila gari ilionekana kusheheni magunia ya mkaa. Cha kujiuliza hapa hiyo ndio kazi yake? ,Pili wamelipia ushuru maliasili? Maana wamepita kwenye point moja ya maliasili wala hawakusimama.
NawasilishaView attachment 630166
Punguza chuki wewe

Hata gunia mbili za matumizi ya nyumbani unawaaaaaaashwa.
Fanya yako upande maendeleo acha kuchunguza ya watu hayakusaidii chochote katika maisha yako.
 
Shukuru Mungu wakati unapiga hiyo picha ulitumia ndumba hawakukuona, otherwise ungekuwa umekalia hilo gunia la mkaa ukielekea kituo cha kati kutolea maelezo huo udaku wako.
Juzi juzi tu hapa Mkuranga nimepishana na Pick up la M4C likiwa na magunia ya mkaa na matikiti maji....lakini sikuona cha ajabu. Sababu inawezekana watu wanatoka safari na kuleta chochote nyumbani si haramu.
 
Leo nilikuwa mahali kwenye mishe nimeshudia gari 'mpya' za polisi zilizokarabatiwa kule Moshi zikipita kwa mbwembwe. Lakini cha kushangaza kila gari ilionekana kusheheni magunia ya mkaa. Cha kujiuliza hapa hiyo ndio kazi yake? ,Pili wamelipia ushuru maliasili? Maana wamepita kwenye point moja ya maliasili wala hawakusimama.
NawasilishaView attachment 630166
Mtumishi wa madhabahuni, hula madhabahuni. Acha chuki Dogo.
 
Wangepakiwa watuhumiwa unhesema wameonewa, umepakiwa mkaa gubu.
"Mwanaume hawi na gubu"

Mambo ya kike hayo
 
Back
Top Bottom