Magari ya polisi kubeba mkaa

Magari ya polisi kubeba mkaa

lingula70

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
4,053
Reaction score
1,968
Leo nilikuwa mahali kwenye mishe nimeshudia gari 'mpya' za polisi zilizokarabatiwa kule Moshi zikipita kwa mbwembwe. Lakini cha kushangaza kila gari ilionekana kusheheni magunia ya mkaa. Cha kujiuliza hapa hiyo ndio kazi yake? ,Pili wamelipia ushuru maliasili? Maana wamepita kwenye point moja ya maliasili wala hawakusimama.
Nawasilisha
IMG_20171113_180115_145.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwahiyo ulitegemea askari asimame kwenye kituo cha maliasili kulipia ushuru wa gunia la mkaa ambalo anapelekea familia yake? Huyo atakua sio askari sasa.

Kwanza ni uchizi kusimama kituo cha maliasili na gari la polisi eti unalipia ushuru wa gunia la mkaa

Tena una bahati umepiga hiyo picha na hujaonekana, wangekuona wangekutoa umbea wote
 
Sio askari tu wanaofanya hivyo hata mimi mtumishi wa kawaida kabisa wa halmashauri nikisafiri na pick up ya ofisi siachi kubeba mkaa kwahiyo mleta mada acha wivu kama na wewe unataka kua askari...huu ushuzi wako mpelekee Mange Kimambi ndio atauona dili shwaini wewe
 
Kila gari limesheheni!! Naomba kujuzwa kwanza neno KUSHEHENI ndo niseme chochote.
 
Hivi kubeba gunia moja tatizo ni nini?hao askari wana shida kama za kwako na wanatakiwa waishi vizuri na familia zao.
 
Leo nilikuwa mahali kwenye mishe nimeshudia gari 'mpya' za polisi zilizokarabatiwa kule Moshi zikipita kwa mbwembwe. Lakini cha kushangaza kila gari ilionekana kusheheni magunia ya mkaa. Cha kujiuliza hapa hiyo ndio kazi yake? ,Pili wamelipia ushuru maliasili? Maana wamepita kwenye point moja ya maliasili wala hawakusimama.
NawasilishaView attachment 630166
Wivu
 
Zile wanakuwa wamekamata siyo Wa kwao
 
Sio askari tu wanaofanya hivyo hata mimi mtumishi wa kawaida kabisa wa halmashauri nikisafiri na pick up ya ofisi siachi kubeba mkaa kwahiyo mleta mada acha wivu kama na wewe unataka kua askari...huu ushuzi wako mpelekee Mange Kimambi ndio atauona dili shwaini wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Acha umbea yaani polisi tu ndio umewaona kuna DFP na STK na STL ngapi zinapita na magunia ya mikaa au vile polisi, vijana wa kizazi cha kulalamika
 
Acha umbea yaani polisi tu ndio umewaona kuna DFP na STK na STL ngapi zinapita na magunia ya mikaa au vile polisi, vijana wa kizazi cha kulalamika
Magari mapya yametoka moshi.....yamebeba mkaa full
 
Back
Top Bottom