Magari ya Kuongwa na foleni Dar!

UNAJUA WATU WENGINE WAMELOGWA! WEWE UNA MKEO TENA SWAAFI SANA........uNAKWENDA KUHONGA NINI ?????????? SHINDWAA!
 
Chanzo cha foleni za Dar sio magari ya kuhongwa wala kuhonga, ni miundombinu. PERIOD!

Kama tungekuwa na miundombinu mizuri na mabasi mazuri ya usafiri wa mjini mtu haoni sababu ya kuendesha gari lake. Anapanda basi anakwenda kazini na kurudi. Lakini kwa kuwa kwenye daladala ni kero, mtu yuko radhi anunue gari kwanza kabla ya mambo mengine ili kuepuka usumbufu na kero za kwenye daladala.
 
Chanzo cha foleni za Dar sio magari ya kuhongwa wala kuhonga, ni miundombinu. PERIOD!

Kama tungekuwa na miundombinu mizuri na mabasi mazuri ya usafiri wa mjini mtu haoni sababu ya kuendesha gari lake. Anapanda basi anakwenda kazini na kurudi. Lakini kwa kuwa kwenye daladala ni kero, mtu yuko radhi anunue gari kwanza kabla ya mambo mengine ili kuepuka usumbufu na kero za kwenye daladala.

hivi kuna magari mangapi hapo DAR?isije kuwa watu wanalalamika magari mengi hawajui hata idadi yake
 
hivi kuna magari mangapi hapo DAR?isije kuwa watu wanalalamika magari mengi hawajui hata idadi yake

Magari yanaonekana mengi kwa sababu barabara ni chache na finyu. Pia mpangilio wa mji wenyewe ni mbovu kwa kuwa watu wote asubuhi wanaelekea sehemu moja, Posta na Kariakoo.

Feeder roads zingeboreshwa foleni zingepungua Dar kwa kiasi kikubwa au zingetoweka kabisa! Ila kwa kuwa tuna viongozi vilaza na wananchi wao nao hawajui kinachoendelea wala hawatakiwi kuhoji, basi mambo yanakwenda shaghalabhagala tu. Tuna viongozi wa kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku, kila siku lazima waonekana, wanalofanya haliweleweki. Poor Dar!
 
Hata wanaume nao pia wanahongwa! Tena na wanawake wakubwa kwao, na wake za watu@! Avatar yako kaka!

Idadi haiendani sawa na wanawake bana,
Mwanamke akuhonge gari??? kati ya wanawake 1000 basi ni 1 anauwezo huo.
 
Yeah ...

Watanzania walio wengi (M/F) wanapima mafanikio kwa mambo matatu: Gari (Used), Nyumba (Mbagala), Duka (Kariakoo)! Mtanzania akishakuwa na hayo mambo matatu anajihesabu kuwa amefanikiwa kimaisha! Hili la Gari limekuwa kama uendawazimu! na ndio maana tume-shift our thinking kutoka kwenye "core values" za maisha na kutapatapa: be it politically, socially and economically

- Ukitizama hali ya miundo mbinu (regardless unaishi sehemu gani ya Dar es Salaam), huwezi kufikiria kununua magari matatu kwa ajili ya (wewe, mkeo, na concubine). Personally, I would rather niwe na gari moja halafu nafanya kazi ya kuwaendesha hawa "wapenzi". Hainingii akilini kuona mume, mke, watoto, concubines, housegirl, serengeti boys, e.t.c wote wanaondoka na kila mtu gari lake asubuhi wanapotoka nyumbani!

Anyways Mwalimu Nyerere alikwisha sema "Upumbavu ni Kipaji"

Kweli mkuu hapo umenena si wenye tuktuk tunadharauliwa mno.
 
Tunahitaji kufikiria upya suala la uagizaji magari yaliyokwishatumika (used cars especially from Japan). Aidha kuongeza kodi kubwa kwa magari hayo, au kuzuia kabisa kuaigiza magari ambayo yametengenezwa chini ya miaka mitatu iliyopita yaani 2007......
Hii itasaidia, maana itafanya gharama za kununua magari kupanda, na watu wengi watatnunua tu pale inapobidi na si vinginevyo....... HUO NI USHAURI WANGU KWA KWELI;.... MAANA UKIANGALIA KWA SASA MTU AKIWA NA MILIONI TANO TU (5,000,000/=), ANAWEZA KUNUNUA GARI........

Mkuu kwani wewe inakuuma nn watu wakinunua magari? kama unaona kuna kero ya foleni town si uhamie Mpanda? au Misenyi and Ileje??!!
 
Chanzo cha foleni za Dar sio magari ya kuhongwa wala kuhonga, ni miundombinu. PERIOD!

Kama tungekuwa na miundombinu mizuri na mabasi mazuri ya usafiri wa mjini mtu haoni sababu ya kuendesha gari lake. Anapanda basi anakwenda kazini na kurudi. Lakini kwa kuwa kwenye daladala ni kero, mtu yuko radhi anunue gari kwanza kabla ya mambo mengine ili kuepuka usumbufu na kero za kwenye daladala.

Mkuu! unajua ukiwa hujawahi kula chakula kilichopikwa na mwanamke mwingine zaidi ya mama yako....utasema mama yako ndiye anayeweza kupika chakula kitamu kuliko wanawake wote duniani............Kuna mji wowote mkubwa, africa au ulaya, usio na foleni? j'berg, cape town kote kuna foleni, tokyo, London, foleni ipo.
Hii ya kwetu nayo foleni? watu wanavigari vyao hawataki kupita kwenye fider roads (japo chache), watu hawataki kuamka mapema ili wawahi kabla ya rush hour.

Acheni uvivu bana.
 
Mkuu! unajua ukiwa hujawahi kula chakula kilichopikwa na mwanamke mwingine zaidi ya mama yako....utasema mama yako ndiye anayeweza kupika chakula kitamu kuliko wanawake wote duniani............Kuna mji wowote mkubwa, africa au ulaya, usio na foleni? j'berg, cape town kote kuna foleni, tokyo, London, foleni ipo.
Hii ya kwetu nayo foleni? watu wanavigari vyao hawataki kupita kwenye fider roads (japo chache), watu hawataki kuamka mapema ili wawahi kabla ya rush hour.

Acheni uvivu bana.

Naishi Idodomya kwa sasa; Hivi karibuni nilikuja kumpokea mpwaz hapo JKN ; nilibahatika kufika Mbezi mwisho saa 12 kamili; nikakutana na mnyororo wa magari hapo bahati mbaya sijaijua njia ya kutokeze Kinyerezi; Niliungana na foleni hiyo na kujikuta nafika Ubungo saa 2 kasoro ; from Ubungo to buguruni ilinichukua another 1.30 mins na pale tena nikasota kwa 40 mins ndo nikafanikwa kuvuka Tazara,

kamanda ukisema watu wawahi kuamka maana yake watoke usiku wa manane?
 
Nadhani tuna magari machache sana ukilinganisha na majiji mengine. Tatizo letu kubwa ni miundombinu michache isiyokidhi haja. Inatakiwa serikali iliangalie hili kwa mapana na urefu wake. Dar inatkiwa miundo mbinu ya nguvu inayokidhi haja!!!!
 
Mkuu! unajua ukiwa hujawahi kula chakula kilichopikwa na mwanamke mwingine zaidi ya mama yako....utasema mama yako ndiye anayeweza kupika chakula kitamu kuliko wanawake wote duniani............Kuna mji wowote mkubwa, africa au ulaya, usio na foleni? j'berg, cape town kote kuna foleni, tokyo, London, foleni ipo.
Hii ya kwetu nayo foleni? watu wanavigari vyao hawataki kupita kwenye fider roads (japo chache), watu hawataki kuamka mapema ili wawahi kabla ya rush hour.

Acheni uvivu bana.

Bigirita,

Nimewahi kutembea nchi za Ulaya, foleni zipo lakini hazidumu kwa muda mrefu kama za Dar, ni foleni zinazotembea. Na hata mtu anaweza kukadiria kwamba foleni hii itakwisha baada ya nusu saa tu.

Unapozungumzia watu hawataki kupita feeder roads, hizo feeder roads zenyewe umeziona>? Ni mbovu wala hazifai, na watu hawataki kuharibu magari yao kwa kupita huko. Zikiboreshwa kwa kuwekewa lami ziatasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza foleni. Nchi zilizoendelea kuna wastani wa gari moja kwa kila nyumba na bado foleni zao hazidumu kwa muda mrefu kama za Dar. Hapa Dar kuna magari machache sana ukilinganisha na hiyo miji uliyoitaja.

Laiti kama Dar ingekuwa na miundombinu bomba kama ya hiyo miji uliyoitaji basi foleni zingekuwa na msamiati kwa wakazi wa Dar. Tusitafute ''lame excuses''
Dar sasa hivi foleni ni ''breakfast, lunch and dinner'', ni foleni kwa kwenda mbele, na joto juu.
 
Naishi Idodomya kwa sasa; Hivi karibuni nilikuja kumpokea mpwaz hapo JKN ; nilibahatika kufika Mbezi mwisho saa 12 kamili; nikakutana na mnyororo wa magari hapo bahati mbaya sijaijua njia ya kutokeze Kinyerezi; Niliungana na foleni hiyo na kujikuta nafika Ubungo saa 2 kasoro ; from Ubungo to buguruni ilinichukua another 1.30 mins na pale tena nikasota kwa 40 mins ndo nikafanikwa kuvuka Tazara,

kamanda ukisema watu wawahi kuamka maana yake watoke usiku wa manane?

Bora unisaidie kumwelesha Bigirita, yaelekea kaondoka Bongo siku nyingi! Kutoka Mbezi mwisho mpaka Tazara mtu anatumia masaa matatu!!! Bado hiyo foleni unaifananisha na London na Cape Town? Hell Nooo!!
 
Hivi kweli foleni za Dar tukizihusisha na uovu wa kugawa ovyo miili ni sawa kweli? mi sidhani hivi kama ufumbuzi wa foleni usipopatikana ina maana wanawake wote mtaongwa na mtaishia kuwa malaya!
 
Kuhonga wana honga kweli, mimi mke wangu ana gari boss wake kuona hivyo ikabidi amuungie kwa gear nyingine kwanza alimwambia wewe ni mzuri nikupa gari tayari unalo mimi naona bora ni kujengee nyumba ya kwako,yeye alimjibu sawa ila ninaenda kumweleza mme wangu pia nita mweleza na mama ambae ni mkewe, jamaa alikasirika na kuanza vituko kwake, ili bidi nitoe mtaji aache kazi afanye biashara kuondoa usumbufu aliokuwa anaupata ktk kwa boss,hivyo jamaa wanahonga sana hawajali ni mke wa mtu wala nini,

Zaidi ya kumwachisha kazi mkeo ulichukua hatua gani zaidi kwa boss huyo?
 
Mkuu! unajua ukiwa hujawahi kula chakula kilichopikwa na mwanamke mwingine zaidi ya mama yako....utasema mama yako ndiye anayeweza kupika chakula kitamu kuliko wanawake wote duniani............Kuna mji wowote mkubwa, africa au ulaya, usio na foleni? j'berg, cape town kote kuna foleni, tokyo, London, foleni ipo.
Hii ya kwetu nayo foleni? watu wanavigari vyao hawataki kupita kwenye fider roads (japo chache), watu hawataki kuamka mapema ili wawahi kabla ya rush hour.

Acheni uvivu bana.

Nakubaliana nawe hata miji mikubwa katika nchi zingine ina foleni lakini foleni yake si kero kama hii ya DSM imezidi too much na hizo fider road zipo wapi zinazopitika, kwanza mpangilio wa mji ni hovyohovyo acha kukutetea upuuuuzi wa viongozi wanashindwa kufanya kazi na kila kukicha foleni inaongezeka. Old Bagamoyo road pale Kawe makao makuu ya JKT kuna vidaraja vya muda na mashimo ya uzembe wa kijinga angalia foleni yake watu wanapoteza masaa
 
I think we are trying to exaggerate the issue. I dont see any link kati ya foleni na magari ya kuhongwa. Inawezekana kweli kuna baadhi ya watu wenye uwezo na utayari wa kuhonga magari lakini hii haiwezi kuwa ndo sababu ya foleni. Issue ya foleni ni ubovu wa miundombinu yetu. Mji unakuwa lna magari yameongezeka sana lakini barabara ni zilezile. Tusitafute mchawi mambo haya yako wazi.

ongezeko la magari lina sababu nyingi ikiwemo wingi wa mikopo - you dont need to save money to buy a car. Ndo maana leo mtu anaanza kazi baada ya miezi 6 ananunua gari kwa mkopo. Hili lilikuwa haliwezekani huko nyuma.
 
Back
Top Bottom