Luushu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 812
- 468
Huyu jamaa tumpuuze maana biashara haitangazwi hivyo kificho kificho tuwe wapole huu mfumo utaenea tuBinafsi ndio maana nimeamua kumpuuza, Huyu kama huduma zake hivi wakati anatafuta wateja itakuaje kama atawapata??