Magari ya gas Tanzania.

Magari ya gas Tanzania.

klorokwine

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
378
Reaction score
33
Wakuu kuna thread nimesoma humu jamvini kua pale UDSM college ya Engineering wanauwezo wa kufungia gari system ya gasi,na ikawa inatumia gas kwa kiwango na gharama kadogo sana(Tsh800 kwa lita)badala ya petroleum,na garama ya kufungiwa ni Tsh 1,200,000/=
Basi ningependa kujua kama jambo hili ni la kweli?
Na je halina athari yoyote kwa mfumo mzima wa gari?
Na je upatkanaji wa gas hiyo vituo vya mafuta ukoje?
Na je nikweli matumizi ya gas kwenye gari ni rahi kuliko petroleum?
Kwa yeyote mwenye information hizi atujuze tafadhali.
 
Kwanza ingia Google kujua kama kunamadhara yyt kisha njoo na swali la wapi hapa tz inapatika huduma hiyo..utajuzwa na wadau...jitume kidogo tu.
 
Kwanza ingia Google kujua kama kunamadhara yyt kisha njoo na swali la wapi hapa tz inapatika huduma hiyo..utajuzwa na wadau...jitume kidogo tu.
Wako watu walionyesha kuchangia kwa ufahamu kidogo juu ya uzi uliopita,inaonekana wanalifahamu jambo hili kwa kina kidogo kuliko hata huko google unakokuabudu,so tuliza kipumulio mkuu.
 
Wakuu kuna thread nimesoma humu jamvini kua pale UDSM college ya Engineering wanauwezo wa kufungia gari system ya gasi,na ikawa inatumia gas kwa kiwango na gharama kadogo sana(Tsh800 kwa lita)badala ya petroleum,na garama ya kufungiwa ni Tsh 1,200,000/=
Basi ningependa kujua kama jambo hili ni la kweli?
Na je halina athari yoyote kwa mfumo mzima wa gari?
Na je upatkanaji wa gas hiyo vituo vya mafuta ukoje?
Na je nikweli matumizi ya gas kwenye gari ni rahi kuliko petroleum?
Kwa yeyote mwenye information hizi atujuze tafadhali.

1. Ni kweli kwamba matumizi ya gesi ni rahisi kuliko petroli
2. Kuhusu madhara nadhani unahitaji ushauri wa kitaalamu zaidi kulingana na gari lako. Mradi huo husimamiwa na TPDC na ukiwekewa unapaswa kupewa certificate
3. Yapo magari machache hapa nchini ambayo yanatumia gesi. Hivyo hata vituo vya kujaxa gesi si vingi. Nilishasikia kimoja kipo Ubungo.
 
Back
Top Bottom