Habari nitumie mesage whatsapp vitz new 0659756647 uchagueNina 5M nahitaji Vitz new model
SPacio itakufaa zaidi sababu ina himili shida na body yake ni ngumu lakini raum haipend shda kutokana na wepes wa body lake kiasi kwamba mtu wa rough road akiitumia ni rahis sana kuchoka hasa milangoUshauri unahitajika,gari gani nzuri kwa ajili ya barabara za rough road? Kati ya raum na spacio?