Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,194
- 5,598
Wadau tujadili magari ya mchina naona soko lake hatujalichangamkia lakini hawa jamaa wana gari nzuri sana, zingine kama vipanya tu kuanzia 2500 usd, lakini wana SUVs unapata kwa bei simple tu, nilikiwa nacheki usd 12000 nakuendelea unaweza pata gari 0km
Kwanini hatumwamini mchina wakati kwasasa anaaminika anatupatia mabasi zimejaa yutong na nduguze mitaani, mashine kama Escavator, magari ya mchanga dumper, grader, nk siku hizi zimejaa kwa wakandarasi kulinganisha na CAT na BENZ nk, watu wanatumia mchina kama Lihong, Linglong kwakuwa ni nafuu affordable na easy to mantain
Je ni muda tuanze kujilipua na Sedans, SUV za mchina? Kama ndio kwanini hatujaona hio fursa ya kumiloki michuma?
Raha ya mchina anakupa mwonekano wa gari ya mjapan ya mwaka 2023 ya milioni 500, mchina anakupa mwonekano huohuo na kuzidi kwa milioni 40
Note: Marekani sasa wanazitumia sana gari za mchina.
Karibuni kwa maoni, mjadala na mitazamo
-Dumelang View attachment 2776648
View attachment 2776650
View attachment 2776655
Kwanini hatumwamini mchina wakati kwasasa anaaminika anatupatia mabasi zimejaa yutong na nduguze mitaani, mashine kama Escavator, magari ya mchanga dumper, grader, nk siku hizi zimejaa kwa wakandarasi kulinganisha na CAT na BENZ nk, watu wanatumia mchina kama Lihong, Linglong kwakuwa ni nafuu affordable na easy to mantain
Je ni muda tuanze kujilipua na Sedans, SUV za mchina? Kama ndio kwanini hatujaona hio fursa ya kumiloki michuma?
Raha ya mchina anakupa mwonekano wa gari ya mjapan ya mwaka 2023 ya milioni 500, mchina anakupa mwonekano huohuo na kuzidi kwa milioni 40
Note: Marekani sasa wanazitumia sana gari za mchina.
Karibuni kwa maoni, mjadala na mitazamo
-Dumelang View attachment 2776648