Magari toka China

Dumelang

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
3,194
5,598
Wadau tujadili magari ya mchina naona soko lake hatujalichangamkia lakini hawa jamaa wana gari nzuri sana, zingine kama vipanya tu kuanzia 2500 usd, lakini wana SUVs unapata kwa bei simple tu, nilikiwa nacheki usd 12000 nakuendelea unaweza pata gari 0km

Kwanini hatumwamini mchina wakati kwasasa anaaminika anatupatia mabasi zimejaa yutong na nduguze mitaani, mashine kama Escavator, magari ya mchanga dumper, grader, nk siku hizi zimejaa kwa wakandarasi kulinganisha na CAT na BENZ nk, watu wanatumia mchina kama Lihong, Linglong kwakuwa ni nafuu affordable na easy to mantain

Je ni muda tuanze kujilipua na Sedans, SUV za mchina? Kama ndio kwanini hatujaona hio fursa ya kumiloki michuma?

Raha ya mchina anakupa mwonekano wa gari ya mjapan ya mwaka 2023 ya milioni 500, mchina anakupa mwonekano huohuo na kuzidi kwa milioni 40

Note: Marekani sasa wanazitumia sana gari za mchina.

Karibuni kwa maoni, mjadala na mitazamo

-Dumelang View attachment 2776648
02eebdf46d.jpg.500x500.jpg
View attachment 2776650
f7b338d260.jpg.500x500.jpg
View attachment 2776655
798a0ecb63.jpg
SmartSelect_20231008_123745_Instagram.jpg
2506f2d2b6.jpg.500x500.jpg
 
Wadau tujadili magari ya mchina naona soko lake hatujalichangamkia lakini hawa jamaa wana gari nzuri sana, zingine kama vipanya tu kuanzia 2500 usd, lakini wana SUVs unapata kwa bei simple tu, nilikiwa nacheki usd 12000 nakuendelea unaweza pata gari 0km

Kwanini hatumwamini mchina wakati kwasasa anaaminika anatupatia mabasi zimejaa yutong na nduguze mitaani, mashine kama Escavator, magari ya mchanga dumper, grader, nk siku hizi zimejaa kwa wakandarasi kulinganisha na CAT na BENZ nk, watu wanatumia mchina kama Lihong, Linglong kwakuwa ni nafuu affordable na easy to mantain

Je ni muda tuanze kujilipua na Sedans, SUV za mchina? Kama ndio kwanini hatujaona hio fursa ya kumiloki michuma?

Raha ya mchina anakupa mwonekano wa gari ya mjapan ya mwaka 2023 ya milioni 500, mchina anakupa mwonekano huohuo na kuzidi kwa milioni 40

Note: Marekani sasa wanazitumia sana gari za mchina.

Karibuni kwa maoni, mjadala na mitazamo

-Dumelang View attachment 2776648View attachment 2776649View attachment 2776650View attachment 2776651View attachment 2776655View attachment 2776658View attachment 2776657View attachment 2776656
Gari za Mjerumani mmezipa kila aina ya matusi, Hizo za mchina mtaziweza?

Nimewahi kukutana na pick truck moja ya mchina, umeme kama wa mjerumani.
 
Back
Top Bottom