Magari Makubwa yasiruhusiwe kuingia Kariakoo

Magari Makubwa yasiruhusiwe kuingia Kariakoo

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,681
Reaction score
6,382
Sio siri kwa kweli, kuwaondoa wamachinga walio wengi kariakoo na kuruhusu wachache wenye biashara za usafirishaji kutumia barabara na kuwazuia watumiaji wengine kwa namna watakavyo ni uonevu wa hali ya juu,
Malori yana athari kubwa kariakoo kuliko wamachinga,
Yanaharibu barabara, yanazuia watumiaji wengine kutumia barabara,
Na pia usumbufu kwa wakazi wa maeneo hayo
Siamini kama kariakoo haina viongozi wa kuliona hili, ila kama ni malipo hata huko nje ya mji wakipangwa watalipa tu tena kwa utaratibu mzuri tu wa kutambuana,
Vikirikuu na canter zibebe hapa kariakoo na kuwapelekea huko nje ya mji ili kuleta mandhari nzuri ya mji vinginevyo machinga wameonewa tu
 
Baada tu ya machinga kuondolewa
Malori yameingia kwa kasi kupita maelezo,
Hii ni kuthibitisha watop wapo nyuma ya hili
Matajiri huwa hawaangalii aidibya kujinufaisha wao tu
Barabara zote mpya huku misheni kota na gerezani hazina muda zitakufa zote
 
Back
Top Bottom