Magari haya yanauzwa

mnana

Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
24
Reaction score
1
MIMI NI MAJID MNANA. NINAFANYA BIASHARA YA KUNUNUA MAGARI TOKA JAPANI NA KUYAUZA HAPA NCHINI. KWASASA NINAMAGARI MANNE. NOAH ZA KISASA 2 KILA MOJA SH MILIONI 14, NISSAN SERENA SH MILIONI 12, NA
TOYOTA SIENTA MILIONI 12

. NISSAN SERENA MILIONI 12











BE MILIONI 14


HII NI NYINGINE YA RANGI YA SILVER



TOYOTA SIENTA MILIONI 12







Naomba tuwasiliane
0714894088
0784604971
0762641094 Email mnanacom@yahoo.com
 
mkuu mbona magari yako mengi unayopost ni Noah na Serena?
Hizi nyingine hauuzi?
 
Bei zako kubwa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Matangazo should be lime this, if you don't see the numbers , at least the pics
 
hauna pesa ya kununua haya magari, hata bei zake masokoni huzijui. Kaulize show room, halafu linganisha na bei azngu.
 
hauna pesa ya kununua haya magari, hata bei zake masokoni huzijui. Kaulize show room, halafu linganisha na bei azngu.
Kuwa mpole unafanya biashara, usiseme hana pesa maana mwenye pesa hanukii na kukwambia una uza bei kubwa si kwamba hanunui ungesema tu mnaweza punguziana au vinginevyo.
 
hauna pesa ya kununua haya magari, hata bei zake masokoni huzijui. Kaulize show room, halafu linganisha na bei azngu.

................
kwa kauli hizi mkuu utaweza biashara kweli??? Think big........talk like a business man....sio kama police Fulani hiv...
 
hauna pesa ya kununua haya magari, hata bei zake masokoni huzijui. Kaulize show room, halafu linganisha na bei azngu.

Mnana Joine Date:26 August 2013

Kuwa mpole unafanya biashara, usiseme hana pesa maana mwenye pesa hanukii na kukwambia una uza bei kubwa si kwamba hanunui ungesema tu mnaweza punguziana au vinginevyo.


Sawa Jamvini ni mgeni, kwenye biashara nako mgeni?
Mbona majibu hayaoneshi ukomavu wa katika biashara,
Uliza wenzio kina Youngmaster, wana-deal namna gani na challenge kama hizi!
 
Kuwa mpole unafanya biashara, usiseme hana pesa maana mwenye pesa hanukii na kukwambia una uza bei kubwa si kwamba hanunui ungesema tu mnaweza punguziana au vinginevyo.

Nimekuelewa Ndugu. Baadhi ya watu wanajibu tu Bila Kujua Ukweli wa jambo husika.
 
Ahsante kwa ushauri wako mzuri. Bora niwe mpole tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…