Jimmy Kadebedebe
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 468
- 191
Siku zinavyozidi kwenda Magamba wanazidi kuchanganyikiwa hii inadhihirisha wazi kuwa mwaka huu Magamba wamebanwa vibaya;
Tathmini ya awali inaonyesha Chadema walivyoliteka anga la medani za siasa tangu Lowasa aingie Chadema na kuchukua hata kurudisha fomu ya ugombea uraisi.
Wanachama wa Magamba wameamua kumkimbilia Dk Slaa na kuanza kuandika thread ambazo hazina mashiko humu JF.
Tahadhari kwa Magamba kuweni makini kwani goli lenu la mkono litageuka na kujikuta mkipigwa tatu bila na UKAWA kwani mmemsahau kabisa mgombea wenu Magufuli ambaye kwasasa thread zake humu ndani zimepotea kabisa.
Kila la kheri Lowasa ikulu yako 2015.
Tathmini ya awali inaonyesha Chadema walivyoliteka anga la medani za siasa tangu Lowasa aingie Chadema na kuchukua hata kurudisha fomu ya ugombea uraisi.
Wanachama wa Magamba wameamua kumkimbilia Dk Slaa na kuanza kuandika thread ambazo hazina mashiko humu JF.
Tahadhari kwa Magamba kuweni makini kwani goli lenu la mkono litageuka na kujikuta mkipigwa tatu bila na UKAWA kwani mmemsahau kabisa mgombea wenu Magufuli ambaye kwasasa thread zake humu ndani zimepotea kabisa.
Kila la kheri Lowasa ikulu yako 2015.