Chaimaharage
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 211
- 78
Ndo maana yake..Huku tuliko ni shangwe sababu huyu mtu ni kama vile alicheleweshwa..Lakini wadau kama mna kumbukumbu ya matukio mnakumbuka kipindi wabunge wa CDM walivyo piga kura ya kutokuwa na imani na jamaa huyu?