Ndugu wanajf nchi ya Uganda imeanza hivi karibuni kujihusisha na uchimbaji wa raslimali mafuta. Ilihali Tanzaia kwa zaidi ya miaka 10 sasa tumekuwa tulichimba dhahabu na madini mengine.
Kwa mujibu wa attachemnt inaelekea katika mikataba ya nchi ya Uganda na wawekezaji wa mafuta kipo kipengele cha raslimali hiyo kutumika katika kunyanyua elimu ya waganda hususan elimu ya juu.
Zitto, Makamba, King'angwala, Nape, Mnyika, Lissu na wengineo mikataba yetu ya madini na wawekezaji haiwezi kurekebishwa ili madini yetu yakatumika kuwapati vijan awa kitanzania scholarship za masomo mbali mbali ya juu?
View attachment Tullow Group Scholarship Scheme.pdf
​
Kwa mujibu wa attachemnt inaelekea katika mikataba ya nchi ya Uganda na wawekezaji wa mafuta kipo kipengele cha raslimali hiyo kutumika katika kunyanyua elimu ya waganda hususan elimu ya juu.
Zitto, Makamba, King'angwala, Nape, Mnyika, Lissu na wengineo mikataba yetu ya madini na wawekezaji haiwezi kurekebishwa ili madini yetu yakatumika kuwapati vijan awa kitanzania scholarship za masomo mbali mbali ya juu?
View attachment Tullow Group Scholarship Scheme.pdf
​