daniel sr. lighton
Member
- Feb 12, 2013
- 27
- 6
habari yenu wapendwa,,
ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,,
nadhani asili MAFUTA YA UBUYU
Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa kisayansi na wanasayansi mbalimbali,ni mafuta ya asili yasiyochanganywa na kitu chochote kile.Mafuta haya hutokana na kukamuliwa kwa mbegu za ubuyu.
Mafuta ya ubuyu yana faida nyingi katika mwili wa mwanadamu,haijarishi mwanaume wala mwanamke,
Mafuta haya yana faida mbalimbali kama ifuatavyo;-
1.huzibua mirija ya damu iliyozibwa na mafuta.
2.mafuta ya ubuyu pia husaidia uzalishwaji wa mbegu za uzazi kwa wanaume na kwa wanawake pia.
3.vilevile mafuta ya ubuyu husaidia kurutubisha ukuaji wa kucha pamoja na nywele.
4.pia mafuta ya ubuyu huyeyusha mafuta yasiyo na kazi mwilini hivyo husadia kupunga mafuta mwilini.
5.mafuta ya ubuyu pia husaidia katika kupunguza uzito.
6.pia mafuta ya ubuyu husaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.
7.mafuta ya ubuyu husaidia katika uzalishwaji wa seli mwilini.
8.pia yanasaidia katika uzalishaji wa vimelea vya uhai yaani CD4.
Mafuta ya ubuyu pia yanaweza kutumika katika kupaka mwilini kutokana na faida zifuatazo;-
1.husaidia kulainisha ngozi.
2.pia husaidia katika uzalishaji wa vitamin D kwenye ngozi.
3.pia ni mazuri kutumika kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.
4.pia huleta unyevu unyevu kwenye ngozi iliyokauka
inavoshauriwa
JUICE YA UBUYU
Ni juisi itokanayo na unga wa ubuyu bila kuongeza kitu chochote cha ziada,juisi ya ubuyu ni moja ya vitu vitokanavyo na ubuyu ambavyo na ubuyu,ubuyu ni tunda lenye vitamin C kuliko matunda mengine yote,hivyo inashuriwa kutumia juice hii mara kwa mara.juisi hii inamanufaa kadhaa mabayo ni pamoja na;-
1.hongeza na kuleta hamu ya kula.
2.huongeza kumbukumbu kwa mwanadamu
Juisi hii yaweza kutumika muda wowote ule ambao mlengwa atajiskia kutumia….
MAJANI YA UBUYU
Ni jani litokanalo na mche wa ubuyu au mti wa ubuyu,ni majani yenye faida mbalimbali mbali na zile faida za juisi ya ubuyu.
Faida za majani ya ubuyu ni kama zifuatazo..
1.majani ya ubuyu yanaweza kutumika kama mboga
2.pia yanatumika kutibu vidonda vya tumbo.
3.kuboresha mbegu za kiume na za kike
4.pia inatibu typhoid sugu.
5.huongeza nguvu mwilini.
kwa anaye hitaji tuwasiliane
0657 963 183.
.0767 102 880
mkuu samahani hayo mafuta ya ubuyu unaweza ukapikia kwenye Mboga kama tunavyoitumia Alzeti?
Huwa nakunywa haya mafuta ila kazi kweli kweli kuyameza, mbona nakunywa haya mafuta lakini sipungui uzito??
Kumbe biashara..
Tafiti hizo zimechapishwa gazeti gani au zimethibitishwa na nani? mbona hamweki nembo ya TFDA au TBS?
mwenzangu nilinunua unga wa ubuyu kwenye maonyesho fulani kwa akina mama wajasilia mali yaani fulu michanga.. kiukweli nilipokuja kuichunguza ile fungashio haina alama ya ubora nafikiri vile vilebo vinauzwa tu na kiwanda fulani.Tafiti hizo zimechapishwa gazeti gani au zimethibitishwa na nani? mbona hamweki nembo ya TFDA au TBS?
Tupeni ushuhuda wa watu waliokwishatumia huo Ubuyu na namba zao za simu ili tuwe na uhakika kama kweli ni Tiba maana nina uhakika hata wewe daniel sr. lighton unajua kuwa kuna wimbi kubwa la matapeli ambao wanataka kujitatirisha kwa kuzua kuwa kitu fulani ni dawa wakati si dawa na serikali yetu nayo kama iko likizo wakati watu wanapoteza maisha kwa kutumia dawa zisizo thibitishwa au kuwa na ubora.habari yenu wapendwa,,
ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,,
nadhani asili MAFUTA YA UBUYU
Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa kisayansi na wanasayansi mbalimbali,ni mafuta ya asili yasiyochanganywa na kitu chochote kile.Mafuta haya hutokana na kukamuliwa kwa mbegu za ubuyu.
Mafuta ya ubuyu yana faida nyingi katika mwili wa mwanadamu,haijarishi mwanaume wala mwanamke,
Mafuta haya yana faida mbalimbali kama ifuatavyo;-
1.huzibua mirija ya damu iliyozibwa na mafuta.
2.mafuta ya ubuyu pia husaidia uzalishwaji wa mbegu za uzazi kwa wanaume na kwa wanawake pia.
3.vilevile mafuta ya ubuyu husaidia kurutubisha ukuaji wa kucha pamoja na nywele.
4.pia mafuta ya ubuyu huyeyusha mafuta yasiyo na kazi mwilini hivyo husadia kupunga mafuta mwilini.
5.mafuta ya ubuyu pia husaidia katika kupunguza uzito.
6.pia mafuta ya ubuyu husaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.
7.mafuta ya ubuyu husaidia katika uzalishwaji wa seli mwilini.
8.pia yanasaidia katika uzalishaji wa vimelea vya uhai yaani CD4.
Mafuta ya ubuyu pia yanaweza kutumika katika kupaka mwilini kutokana na faida zifuatazo;-
1.husaidia kulainisha ngozi.
2.pia husaidia katika uzalishaji wa vitamin D kwenye ngozi.
3.pia ni mazuri kutumika kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.
4.pia huleta unyevu unyevu kwenye ngozi iliyokauka
inavoshauriwa
JUICE YA UBUYU
Ni juisi itokanayo na unga wa ubuyu bila kuongeza kitu chochote cha ziada,juisi ya ubuyu ni moja ya vitu vitokanavyo na ubuyu ambavyo na ubuyu,ubuyu ni tunda lenye vitamin C kuliko matunda mengine yote,hivyo inashuriwa kutumia juice hii mara kwa mara.juisi hii inamanufaa kadhaa mabayo ni pamoja na;-
1.hongeza na kuleta hamu ya kula.
2.huongeza kumbukumbu kwa mwanadamu
Juisi hii yaweza kutumika muda wowote ule ambao mlengwa atajiskia kutumia .
MAJANI YA UBUYU
Ni jani litokanalo na mche wa ubuyu au mti wa ubuyu,ni majani yenye faida mbalimbali mbali na zile faida za juisi ya ubuyu.
Faida za majani ya ubuyu ni kama zifuatazo..
1.majani ya ubuyu yanaweza kutumika kama mboga
2.pia yanatumika kutibu vidonda vya tumbo.
3.kuboresha mbegu za kiume na za kike
4.pia inatibu typhoid sugu.
5.huongeza nguvu mwilini.
kwa anaye hitaji tuwasiliane
0657 963 183.
.0767 102 880
jinsi ya kutumia,kuna kipimo maalumu wakati wa kunywa?natumia katika kupaka tu ila sijawi kunywa
ushuhuda wa watu upo lakin sidhani kama itakua jambo la busara kuandika namba za watu hapa lakin kama wahitaji kujua mengi zaid tuwasiliane..Tupeni ushuhuda wa watu waliokwishatumia huo Ubuyu na namba zao za simu ili tuwe na uhakika kama kweli ni Tiba maana nina uhakika hata wewe daniel sr. lighton unajua kuwa kuna wimbi kubwa la matapeli ambao wanataka kujitatirisha kwa kuzua kuwa kitu fulani ni dawa wakati si dawa na serikali yetu nayo kama iko likizo wakati watu wanapoteza maisha kwa kutumia dawa zisizo thibitishwa au kuwa na ubora.
mwenzangu nilinunua unga wa ubuyu kwenye maonyesho fulani kwa akina mama wajasilia mali yaani fulu michanga.. kiukweli nilipokuja kuichunguza ile fungashio haina alama ya ubora nafikiri vile vilebo vinauzwa tu na kiwanda fulani.
Label mbona zinachapishwa karibu kila mtaa!hawa wajasiriamali wasojua ustaarabu watatumaliza tusipokua makini!
Tafiti hizo zimechapishwa gazeti gani au zimethibitishwa na nani? mbona hamweki nembo ya TFDA au TBS?
ni suala jema kama waweza kufanya..na pia ni vema kuwa makini maana hata hayo mafuta kuna wachakachuzi wanaweka mafuta ya kawaida ya kula badala ya mafuta halisi ya ubuyu,,i think its better kuwa na mtu unayeamin bidhaa zakeKweli inabidi kuwa makini na hawa wajasiliamali. siku nyingine nikiona vitu kama hivyo lazima nijikorogee mbele yao ili nidhibitishe ubora.