cobra poison
Member
- Sep 14, 2016
- 32
- 12
Kama kuna mtu anayo au anajua yanapopatikana mafuta halisi ya simba nna shida nayo sana
Njoo pale mtaa wa msimbazi kwenye jengo letu kesho saa mbili asubuhi kuna mafuta ya kupaka misuli yamebaki tunauza. Mwone Haji Manara au mpigie kwa maelezo zaidi))))))))Kama kuna mtu anayo au anajua yanapopatikana mafuta halisi ya simba nna shida nayo sana
Kumfunga yangaHivi yanasaidia nini katika mwili!?
Nilisikia mahali yanasaidia kufukuza Wanyama waharibifu Shambani,Hivi yanasaidia nini katika mwili!?
sasa si wanaweza kuwa vutia simba wakaja na kuzani kuna simba mwenzao mkuu...Nilisikia mahali yanasaidia kufukuza Wanyama waharibifu Shambani,
Wakisikia harufu yake tu wanajua Mzee wa Mwituni, Mwekundu wa Msimbazi uko arround
Ha ha haaa,sasa si wanaweza kuwa vutia simba wakaja na kuzani kuna simba mwenzao mkuu...
ukienda zaidi utakutana na selous mkuuHa ha haaa,
Inawezekana eeeee??
Lakini Mkuu Maeneo tuseme ya Mkuranga, Jaribu Mpakani, Bungu, Kibiti, Kilwa etc hao Simba watatokea wapi??
Pale wanaowindwa au kufukuzwa ni Kitimoto na Jamii ya Nyani (Ngedere, Tumbili, etc)
Kweli kakaukienda zaidi utakutana na selous mkuu
Nenda sokoni kwa wauza dawa za kienyeji wana kila kitu hata mayai viza utapata.Ka vip muulize Mshana junior.Kama kuna mtu anayo au anajua yanapopatikana mafuta halisi ya simba nna shida nayo sana
sasa si wanaweza kuwa vutia simba wakaja na kuzani kuna simba mwenzao mkuu...
