Mafuta ya kupikia yamepanda bei

Mafuta ya kupikia yamepanda bei

Wewe ndio umejichanganya, wapi aliposema lita 8
Nikijibishana na wewe nitaonekana mpumbavu ila mwenye mada alinielewa vizuri.

Inaonyesha usivyo mkomavu katika mijadala na huna reading skills kuona hata quote yangu.

Watoto wa juzi kwenye mitandao mna shida sana.
 
Wewe angalia vizuri bandiko lako.

Inawezekana vipi lita 8 ilikua 8,000 na lita 5 ikawa 12,000?

Kuna makosa sehemu, fanya kurekebisha maana nimeshindwa kuelewa.
Sorry mkuu nilikosea ni lita 3
 
Mimi napika najua bei zaa mafuta vizuri kabisa litre 3 ya sundrop nanunua kwa 15k till now, ila nikienda plant za alizeti litre5 nanunua kwa 20k
. Mzee umeanza kununua leo nn?
Mimi sinunui wala bali nayazalisha. Kwahyo hizo ndo bei kwa sasa
 
Nikijibishana na wewe nitaonekana mpumbavu ila mwenye mada alinielewa vizuri.

Inaonyesha usivyo mkomavu katika mijadala na huna reading skills kuona hata quote yangu.

Watoto wa juzi kwenye mitandao mna shida sana.
Duuu reaction yote hii ni hyo comments yangu mzee, waonekana ni bingwa wa utata, hongera mkuu.
 
Anzeni kula chukuchuku.

Mafuta pikieni kwenye vyakula vyenye sababu ya lazima ya kupikiwa mafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom