Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 2,398
- 3,074
Wakuu, watu wa sido na wajasiriamali salaaam.
Nina uhitaji na mafuta ya kupaka ndoo moja kwanza lita kumi hadi lita ishirini kwa ajili ya project.
Mambo yakikaa sawa nitaagiza hadi mapipa kwa mapipa..
Mafuta ninayohitaji ni cosmetic grade. Yale mtu anaweza changanya na viinilishe au dawa (compounding) moja kwa moja akaendelea kupakaa. Wapi nitapata, tuwasiliane Whatsapp 0734189022(usipige kwa sasa). sahili@sahili.net
Update: Ahsanteni kwa ushirikiano, suala hili limekwisha. Kwa sasa.
Nina uhitaji na mafuta ya kupaka ndoo moja kwanza lita kumi hadi lita ishirini kwa ajili ya project.
Mambo yakikaa sawa nitaagiza hadi mapipa kwa mapipa..
Mafuta ninayohitaji ni cosmetic grade. Yale mtu anaweza changanya na viinilishe au dawa (compounding) moja kwa moja akaendelea kupakaa. Wapi nitapata, tuwasiliane Whatsapp 0734189022(usipige kwa sasa). sahili@sahili.net
Update: Ahsanteni kwa ushirikiano, suala hili limekwisha. Kwa sasa.