P Pazi JF-Expert Member Mar 5, 2011 2,946 1,815 Aug 15, 2011 #1 Watanzania ni vizuri mafuta wanunue kwa wale tu ambao hawakuweka Mgomo... Wale waliojifanya kuweka Mgomo nao wananchi vizuri wafanyie mgomo na mafuta yao sababu hawana upendo kwa Watanzania.
Watanzania ni vizuri mafuta wanunue kwa wale tu ambao hawakuweka Mgomo... Wale waliojifanya kuweka Mgomo nao wananchi vizuri wafanyie mgomo na mafuta yao sababu hawana upendo kwa Watanzania.
A adobe JF-Expert Member May 6, 2009 2,776 1,877 Aug 15, 2011 #2 Kweli kabisa.hasa engen tusinunue mafuta kwao.mi tayari ni msimamo wangu na bp wakijauza tusiende huko
Kweli kabisa.hasa engen tusinunue mafuta kwao.mi tayari ni msimamo wangu na bp wakijauza tusiende huko
D dkalu Member Aug 12, 2011 42 1 Aug 15, 2011 #3 kwli maana wao wamemwaga mboga sisi tunamwaga ugali au sio...