Mafuta tanzania.

Pazi

JF-Expert Member
Mar 5, 2011
2,946
1,815
Watanzania ni vizuri mafuta wanunue kwa wale tu ambao hawakuweka Mgomo... Wale waliojifanya kuweka Mgomo nao wananchi vizuri wafanyie mgomo na mafuta yao sababu hawana upendo kwa Watanzania.
 
Kweli kabisa.hasa engen tusinunue mafuta kwao.mi tayari ni msimamo wangu na bp wakijauza tusiende huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…