awamuyetu
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 307
- 137
Umerogwa weweJaribu na mafuta yanaitwa Kerosene, wansema pia mazuri kwa nywele.
Umerogwa weweJaribu na mafuta yanaitwa Kerosene, wansema pia mazuri kwa nywele.
Yes Olive ni zaituni.... Mafuta yake ni mazuri kwa kunywa au kutoa ktk saladin... na kupaka mwilini ila kwa nywele na kupikia chakula hayana tija nzuri..not recommended.Hii ndo olive?
Nimewahi kutumia hii kitu kwa nywele sikuipenda maana zilikuwa ngumu halafu mvi zikaongezekaYes Olive ni zaituni.... Mafuta yake ni mazuri kwa kunywa au kutoa ktk saladin... na kupaka mwilini ila kwa nywele na kupikia chakula hayana tija nzuri..not recommended.
Best Quality ni ya Spain, Palestine na midkeast.
Exactly... just tumia kwa mwili utarudi kijana na ngozi kukaza na kuonekana glossy ...Nimewahi kutumia hii kitu kwa nywele sikuipenda maana zilikuwa ngumu halafu mvi zikaongezeka
Uso wa mafuta au mkavu ndiyo yanafaa?Exactly... just tumia kwa mwili utarudi kijana na ngozi kukaza na kuonekana glossy ...
Mafuta ya nazi bora kwa nywele
NdioHii ndo olive?
Mimi natafuta mafuta ya dread na sabuni zake za kuosha.
Hivi kuza inakuza nywele kweli?Kuza og ni mazuri pia, ila kuna vi fake hivyo sijui ni made in vingunguti..🤦🏽♀️
Mi naona inakuza, hata nywele zinakua na muonekano mzuri sana huwa nayatumia. Ila safari hii nimekutana na fake mmhHivi kuza inakuza nywele kweli?
unawezaje kujua fake na orgMi naona inakuza, hata nywele zinakua na muonekano mzuri sana huwa nayatumia. Ila safari hii nimekutana na fake mmh
Rangi zake tofauti kidogo sijui utaelewa, fake imepauka, og inataka kuwa kama rangi ya udongo hivi, na inaleta mba kichwani hii fakeunawezaje kujua fake na org
Sawa shukhran!Rangi zake tofauti kidogo sijui utaelewa, fake imepauka, og inataka kuwa kama rangi ya udongo hivi, na inaleta mba kichwani hii fake
Haya hayafai kwa dread zangu mkuu.. Bora nikomae na mafuta ya Nazi tuView attachment 1905082
Unaosha na shampoo
Yana nini? Hayo ni mafuta ya kusokotea dreads au zako unatosota na mafuta ya nazi?Haya hayafai kwa dread zangu mkuu.. Bora nikomae na mafuta ya Nazi tu
Natumia sindano mkuu. Hayo mafuta yalishawahi kuaribu ngozi ya kichwa niliota mapepe balaa ikabidi ninyoe nianze upya. Sitaki hata kuyasikia.Yana nini? Hayo ni mafuta ya kusokotea dreads au zako unatosota na mafuta ya nazi?
Jaribu na mafuta yanaitwa Kerosene, wansema pia mazuri kwa nywele.
Bei gani?Mi naona inakuza, hata nywele zinakua na muonekano mzuri sana huwa nayatumia. Ila safari hii nimekutana na fake mmh
Kuza ndogo kabisa 4000 saizi ya kati 8000....Bei gani?
Unagunduaje Og na fake mrembo?
Okay, nitayachekiKuza ndogo kabisa 4000 saizi ya kati 8000....
Rangi yake og ni brown iliyokolea fake imepauka flani hivi