Igabiro
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 242
- 27
Nilitegemea baada ya serikali kutoa kandarasi ya kuingiza mafuta mengi kwa kampuni moja basi watumiaji wa nishati hiyo tungepata ahueni kidogo...lakini imekuwa kinyume baada ya shehena hiyo kufika nchini na kushishwa tumetangaziwa na EWURA kuwa mafuta bei juu tena. sasa lipi bora turudi kule kule kwenye soko huria au huyu fisadi mmoja aendelee kutakamua walipa kodi. Nahisi na hili wangunge wa DSM wangeliundia muungano lingekuwa la msingi kabisa