Mafuriko yaleta tafrani NMB-Bukoba

KAUDO

Senior Member
Aug 10, 2011
138
67
Wateja wa NMB waliofurika leo asubuhi wamekerwa na utaratibu wa huduma kwa foleni baada ya wafanyakazi wa benki hiyo kuvuruga utaratibu kwa kuwapendelea wale wanaowafahamu kwa sura na majina.

Baada ya kukosa uvumilivu wateja waling'aka wakisema'tumechoka,toeni uhuni wenu sote tunachukua fedha ile ile ya kitanzania.

Mmoja wa wahudumu alisikika akisema'basi fanyeni maandamano'

Kilichoonekana ni kuwa benki haijajiandaa kukabiriana na wingi wa wateja hasa kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka.
 
Wateja wa NMB waliofurika leo asubuhi wamekerwa na utaratibu wa huduma kwa foleni baada ya wafanyakazi wa benki hiyo kuvuruga utaratibu kwa kuwapendelea wale wanaowafahamu kwa sura na majina.

Baada ya kukosa uvumilivu wateja waling'aka wakisema'tumechoka,toeni uhuni wenu sote tunachukua fedha ile ile ya kitanzania.

Mmoja wa wahudumu alisikika akisema'basi fanyeni maandamano'

Kilichoonekana ni kuwa benki haijajiandaa kukabiriana na wingi wa wateja hasa kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka.

kukabiriana = kukabiliana
 
Lengo la thread yako ni nini?. Binafsi sijakuelewa vizuri.
 
Wateja wa NMB waliofurika leo asubuhi wamekerwa na utaratibu wa huduma kwa foleni baada ya wafanyakazi wa benki hiyo kuvuruga utaratibu kwa kuwapendelea wale wanaowafahamu kwa sura na majina.

Baada ya kukosa uvumilivu wateja waling'aka wakisema'tumechoka,toeni uhuni wenu sote tunachukua fedha ile ile ya kitanzania.

Mmoja wa wahudumu alisikika akisema'basi fanyeni maandamano'

Kilichoonekana ni kuwa benki haijajiandaa kukabiriana na wingi wa wateja hasa kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka.

Hiyo ni kawaida yao huko BK bila kujali ni Bank gani.
Sio bank tu ,hata sokoni utahudumiwa vizuri na wakwanza kama unamfahamuu muuzaji.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom