pamiho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 271
- 36
Iweje wewe ni chanzo...hapo pagumu nduguChanzo ni mimi mwenyewe nikwenda huko kwa matembezi.
Mvua zilizonyesha kwa muda wa siku 4 mfululizo zimesababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wa eneo la Kedah nchuni Malaysia kama inavyoenekana ktk kielelezo nichoambatanisha.
Chanzo ni mimi mwenyewe nikwenda huko kwa matembezi.